Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
Kuna jamaa hapo Kenya ni maarufu kweli na amejizolea mafaniko kwa kutumia jina la uchungaji.
Jamaa anasema eti ni ngumu kwake kuombea mtu anaetoa sadaka ya mia tano (mia tano ya Kenya ni kama 8400 hivi ya Tanzania)
Tazama video:
View: https://youtu.be/noKiIJnVig8?si=QBExwuOPLCL9IQoz
Jamaa anasema eti ni ngumu kwake kuombea mtu anaetoa sadaka ya mia tano (mia tano ya Kenya ni kama 8400 hivi ya Tanzania)
Tazama video:
View: https://youtu.be/noKiIJnVig8?si=QBExwuOPLCL9IQoz