Wakubwa tu

Wakubwa tu

Msandawe Halisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
647
Reaction score
351
Jukwaa hili la MMU limeingiliwa sana hadi kufikia wale ma greater thinker wengi wao kama wamekimbia hivi au wanaonekana kwa nadra sana kama The Boss na wengine wengi.

Hawa wadogo zetu wamekuwa wakipost mambo yao bila kufikiria uwepo wa wakubwa zao na baba zao humu.

Sasa wakubwa tulonge. Hivi perfomance ya kiwango cha juu katika sita kwa sita huwa inachangiwa na driver ambaye ni jinsia ya kiume? Je kama driver ni lena, je ligwaride litaweza kuwa zuri kwa jinsia ya kike kushika usikani?
 
Tena akishika mwanamke usukani utapenda na utataka akuendeshe maisha...
 
kweli msandawe,mimi nilikimbia siku nyingi lakini nilikuja kukaa na kufikiri kukimbia tatizo sio kulitatua sasa nimerudi rasmi kuja kunyoosha mambo na ninaomba wale ma GT wa ukweli waje tulijenge.
 
Na wewe kwa mada yako hiyo umejiona mkubwa.....! haya wasubiri wenzio wakina Danija

Huyu naye wale wale halafu anajidadafua kama mjuzi wa kuleta threads za maana
 
Wadogo msikimbie ila tulia mpate shule
 
Jukwaa hili la MMU limeingiliwa sana hadi kufikia wale ma greater thinker wengi wao kama wamekimbia hivi au wanaonekana kwa nadra sana kama The Boss na wengine wengi.

Hawa wadogo zetu wamekuwa wakipost mambo yao bila kufikiria uwepo wa wakubwa zao na baba zao humu.

Sasa wakubwa tulonge. Hivi perfomance ya kiwango cha juu katika sita kwa sita huwa inachangiwa na driver ambaye ni jinsia ya kiume? Je kama driver ni lena, je ligwaride litaweza kuwa zuri kwa jinsia ya kike kushika usikani?

Haaa haaa Msandawe Halisi mkubwa wewe then ligwaride na mgegedo mchana wote huu... "Je kama driver ni lena" .... ndo wajifunza eeenh???
 
Last edited by a moderator:
Wote wawili wana mchango mkubwa kama ifuatavyo,

1. Mwanaume
Lazima aache ubinafsi amuandae vyema mwenzi wake ikiwa ni pamoja na kulamba, pia anapaswa kuujua vyema mwili wa mwenzi wake.Awe msafi.
Anatakiwa kuhakikisha anakula vyakula vya kuleta nguvu za kiume, siku zote mwanaume mjanja anatakiwa ale Ugali wa mtama, ngano, ulezi, uwele, dona hata kama vikichanganywa vyote si mbaya na ugali wake ni mzuri.Kitoweo kiwe kuku wa kienyeji, samaki, mboga za majani, maharage.Matunda ya asili ni muhimu.

Aepuke vyakula kama chipsi mayai, sembe, nyama nyekundu etc.

2. Mwanamke
Awe tayari kumpokea mumewe kimawazo.Awe na usafi wa hali ya juu.Asitumie vipodozi na mawigi maana wakati mwingine yananuka na kusababisha kupoteza stim kwa mwenzi wake.Awe na mapenzi ya dhati.Awe mwenye hamu ya kutosha na awe ni mwanamke anayeweza kujituma.Pia awe ni mwanamke anayekata mauno.
 
hizi akili za usiku mcha wote huu za nini sasa?
 
Join Date : 25th March 2014, Posts : 16, Rep Power : 304. Sawa kabisa! Umebadili ID?

Watu wafukunyuku jamani......Haya ngoja me mtoto nikakojoe nikalale.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Jukwaa hili la MMU limeingiliwa sana hadi kufikia wale ma greater thinker wengi wao kama wamekimbia hivi au wanaonekana kwa nadra sana kama The Boss na wengine wengi.

Hawa wadogo zetu wamekuwa wakipost mambo yao bila kufikiria uwepo wa wakubwa zao na baba zao humu.

Sasa wakubwa tulonge. Hivi perfomance ya kiwango cha juu katika sita kwa sita huwa inachangiwa na driver ambaye ni jinsia ya kiume? Je kama driver ni lena, je ligwaride litaweza kuwa zuri kwa jinsia ya kike kushika usikani?

hapana...!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom