Wakristo wenzangu, kwanini tusiombe na sisi tuoe wake wanne?

Utaangalia vigezo vyako ulivyojiwekea kwa yule unayetegemea awe mwenzi wako anavifit, kama hafit then huyo sio, shida wengi huwa hawajipi muda wa kutosha kuwatathimini na kujiridhisha bila shaka juu ya wale wanaotaka kuoana nao, akishamuona kwa macho tu amemvutia anatangaza uchumba na ndoa kabisa bila kumfuatilia tabia zake nk ndio mwisho unaona post kama hizi
Nakubaliana na wewe hasa kwenye kutafuta mwenza mwenye vigezo ambavyo mtu binafsi anavihitaji na kuvirdhia.
Swali kuu bado linabaki pale pale kwenye MAJUTO baada ya kuingia kwenye ndoa..... hapa ndipo haswa ninapo jiuliza kwamba utamjuaje kwamba, ulie mpata hatokufanya ujutie kuingia kwenye ndoa na huyo ulienae?
 
Salaam wapendwa,

Roho inaniuma sana ninaposhuhudia ndugu zetu wa upande wa pili wakiwa huru kuoa hadi wake wanne, kwa mambo ninayoyapitia nadhani ni haki yangu roho iniume.Kwa mfano hapa jirani leo baba Nasra anaongeza mke wa tatu na pilau linapikwa hapa, mbuzi wamechinjwa tuyaache hayo.

Ombi langu ni hili, sehemu fulani katika biblia tunashauriwa tuoe mke mmoja tu (kwa wanaume) na hapo tutakuwa kitu kimoja na ukitoka nje ya ndoa unakuwa unazini!.Lakini nadhani ule ni ushauri tu na si amri.Sasa basi,kwanini tusiandae kongamano la wakristo turekebishe huu ushauri ili nasisi tubwede kuoa wake hata watano tu, ili mmoja akileta nyodo unaenda kwa mwingine?


Nawasilisha.
Mungu ni Roho nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu ktk Roho na kweli?
Unatazama mambo kwa jinsi ya mwili kupita kiasi mpaka unawasha tamaa zake.

Ukiokoka na kumpokea Yesu unaweka mbali na tamaa za mwili.
 
Vuta subira wenye dini yao wanalijadili kule Ulaya, nadhani muda si mrefu mtabadilishiwa hilo andiko, na ninavowajua wazungu wanavopenda kuwa juu kwa kila jambo, mnaweza mkaambiwa muoe 7.
Hii itakuwa poa sana maana kupanga ratiba itakuwa rahisi sana, kuna wa jumatatu, jumanne, jumatano, alhamis, Ijumaa, Jumamosi, na Jumapili. Dozi yake ni mara moja kwa wiki.
 
Hakuna haja ya kuomba wakati kuna uhuru wa kuchagua dini unayotaka na huko unaweza oa ata 10
 
Mkuu yatakuwa ni matamanio ya nafsi zao na si sheria.

lakini kwa nilivyosikia (correct me if I'm wrong) agizo la wake up to four came kwa sababu ya vita vya jihadi vilivyopelekea wanaume kuwa wachache hivyo kuruhusu wanaume waliokuwepo wawasitiri wanawake wengi waliokosa waume. ninavyotambua hiyo sababu kwa sasa haipo tena. kwa sasa hata mwanaume anapooa wake Zaidi ya mmoja ni matamanio ya wanaume tu.
 
Duuh! tuliambiwa ndoa ni msalaba. lakini wakati mwingine msalaba wa ndoa unakuwa mzito sana. Paulo alisema Askofu awe na mkee moja lakini! Sasa kwa waumini wa kawaida sijajua alisemaje! Wanaojua vizuri bila ushabiki watusaidie.
 
Mwanaume rijali kamili mke mmoja hamtoshi hata kidogo......ukiona anakuwa na mke mmoja basi either economic statutes mbovu au yeye si mzima katika kugegeda.......

waislam wenzetu wameweka wazi mpaka raha....''oeni mnaowapenda wa 2,3au 4 kama unahisi si muadilifu bali oa mmoja tu......''
 
Mwanaume rijali kamili mke mmoja hamtoshi hata kidogo......ukiona anakuwa na mke mmoja basi either economic statutes mbovu au yeye si mzima katika kugegeda.......

waislam wenzetu wameweka wazi mpaka raha....''oeni mnaowapenda wa 2,3au 4 kama unahisi si muadilifu bali oa mmoja tu......''
Hii aya wakristo hawaitaki. Wakati biblia yao inaruhusu wake wanne.
 
kuoa mke zaidi ya mmoja kunaleta utengano katika familia. Watoto wa mama tofauti huwa hawapendani kama watoto wa mama mmoja. Mikasa iliyomkuta Yusufu (Kutoka sura ya 42 na kuendelea) ni kwasababu ya watoto wa mama yake wa kambo. Hata yeye alipotembelewa Misri tunaona anampendelea sana Benjamini kuliko wengine. Hivyo ni bora tubaki na mke mmoja japo wanawake wa siku hizi wengi ni pasua kichwa ila inabidi tuvumilie
 
Hii ni philosopy ambayo ilitumia hekima na busara kubwa kuhakikisha waislamu wanaona mke zaidi ya mmoja..

Population ya Dada zetu ni kubwa kuliko hata leo hii tukisema wanaume woote tuoe mmoja mmoja bado watabaki weeengi sana.. hawa ndugu zetu huwa wanaingia hedhi zaidi ya siku tatu, je katika hizo siku tatu mnalala kitanda kimoja unaishije..
Hawa ndugu zetu wanashika Mimba miezi tisa kwa bahati mbaya Mimba za wengine zinakuwa na tabia tofauti na changamoto tofauti juu ya mahusiano..

KUBWA KULIKO HAO WENYE MKE MMOJA WAULIZE WANAMICHEPUKO MINGAPI SASA SI BORA UOE TU NA HIYO MICHEPUKO TUJUE MOJA..
Kuwa na mchepuko hayo ni maamuzi ya mtu inategemea huko kwa mchepuko anapendelea nn hasa hata aliyeoa wanawake wanne bado utakuta ana tamaa ya kuongeza wengne kama ingeruhusiwa kiiman kwa maoni yng swala la mchepuko halisababishwi na mtu kua na mke mmoja ila ni mtazamo na matamanio ya mtu binafsi
 
Salaam wapendwa,

Roho inaniuma sana ninaposhuhudia ndugu zetu wa upande wa pili wakiwa huru kuoa hadi wake wanne, kwa mambo ninayoyapitia nadhani ni haki yangu roho iniume.Kwa mfano hapa jirani leo baba Nasra anaongeza mke wa tatu na pilau linapikwa hapa, mbuzi wamechinjwa tuyaache hayo.

Ombi langu ni hili, sehemu fulani katika biblia tunashauriwa tuoe mke mmoja tu (kwa wanaume) na hapo tutakuwa kitu kimoja na ukitoka nje ya ndoa unakuwa unazini!.Lakini nadhani ule ni ushauri tu na si amri.Sasa basi,kwanini tusiandae kongamano la wakristo turekebishe huu ushauri ili nasisi tubwede kuoa wake hata watano tu, ili mmoja akileta nyodo unaenda kwa mwingine?


Nawasilisha.
Tuache tu iendelee hivi hivi Mkuu,
Tukianza ku-edit vifungu vya biblia mwisho tutasema tu-edit pia Ma-Padri wawe wanaoa pia.
 
Salaam wapendwa,

Roho inaniuma sana ninaposhuhudia ndugu zetu wa upande wa pili wakiwa huru kuoa hadi wake wanne, kwa mambo ninayoyapitia nadhani ni haki yangu roho iniume.Kwa mfano hapa jirani leo baba Nasra anaongeza mke wa tatu na pilau linapikwa hapa, mbuzi wamechinjwa tuyaache hayo.

Ombi langu ni hili, sehemu fulani katika biblia tunashauriwa tuoe mke mmoja tu (kwa wanaume) na hapo tutakuwa kitu kimoja na ukitoka nje ya ndoa unakuwa unazini!.Lakini nadhani ule ni ushauri tu na si amri.Sasa basi,kwanini tusiandae kongamano la wakristo turekebishe huu ushauri ili nasisi tubwede kuoa wake hata watano tu, ili mmoja akileta nyodo unaenda kwa mwingine?


Nawasilisha.
umefurahishwa na pilau na mbuzi au sijakuelewa bado

anyway we pambana na ukristo wako,kila njia ina magumu yake
 
Back
Top Bottom