Wakristo wenzangu, kwanini tusiombe na sisi tuoe wake wanne?

Soma vizuri biblia, Una taka kumfuata jikane nafasi yako halafu mfuate. Acha kutamani kuwa na wanawake wengi, ridhika na mke wako wa ujanani. Usiwe mpenda sitarehe au uwe na mke mmoja
 
Tatizo hizi dini za kigeni watu wanapelekeshwa tu. Dini zetu za asili unajiolea tu hata mia! Wakristo mababa zao wa imani walioa wake wengi. Sasa iweje dini hiyo hiyo igeuze gia angani na kusema mume mmoja mke mmoja. Beware!
 
Salaam wapendwa,

Roho inaniuma sana ninaposhuhudia ndugu zetu wa upande wa pili wakiwa huru kuoa hadi wake wanne, kwa mambo ninayoyapitia nadhani ni haki yangu roho iniume.Kwa mfano hapa jirani leo baba Nasra anaongeza mke wa tatu na pilau linapikwa hapa, mbuzi wamechinjwa tuyaache hayo.

Ombi langu ni hili, sehemu fulani katika biblia tunashauriwa tuoe mke mmoja tu (kwa wanaume) na hapo tutakuwa kitu kimoja na ukitoka nje ya ndoa unakuwa unazini!.Lakini nadhani ule ni ushauri tu na si amri.Sasa basi,kwanini tusiandae kongamano la wakristo turekebishe huu ushauri ili nasisi tubwede kuoa wake hata watano tu, ili mmoja akileta nyodo unaenda kwa mwingine?


Nawasilisha.
Ndugu we unatamaa na ushamba wa wanawake shekhe ameoa wanawake wanne lkn bado anatamaa za mwili hata uoe hao wanne bado utakua na tamaa mzee wapo waislamu wanamke mmoja tena uko dini ilipotoka dunia imebadilika ndugu izo ngonjela we piga kimya kimya ipo siku izo tamaa zitakuisha then utatulia na mke mmoja wanne utakuja kujuta bure badae kwanz kuwapata hao wanawake watakao kubali huo upuuzi we jaribu kwa wanawake tena hao wawe watt wa shekhe uone mitusi utakayo koga
 
Waislamu nawapongeza kwani hawana unafiki, wanahalalisha mke zaidi ya mmoja. Sisi mke mmoja na nyumba ndogo kibao. Ni uuungwana!! Mke mmoja akiambiwa na doctor asifanye mapenzi mwaka mzima, mwanaume utavumilia mwaka wote? Ihalalishwe ili nyumba ndogo ziwe rasmi. Hayo ni maoni yangu, huku mtaani naona mengi
Ni vp we ukikutwa na tezi dume na umeambiwa usifanye mapnz miezi sita alafu una wake wanne itakuaje ndugu
 
Hamia huo upande naoruhusu mitara usillazimishe sheria ibadilishwe kwa ajili yako
 
Waislamu nawapongeza kwani hawana unafiki, wanahalalisha mke zaidi ya mmoja. Sisi mke mmoja na nyumba ndogo kibao. Ni uuungwana!! Mke mmoja akiambiwa na doctor asifanye mapenzi mwaka mzima, mwanaume utavumilia mwaka wote? Ihalalishwe ili nyumba ndogo ziwe rasmi. Hayo ni maoni yangu, huku mtaani naona mengi

ni hapo wanawake wa kiislamu watakapokuwa huru kabisa kiuchumi maana watakuwa wana uwezo wa kufanya watakacho. na wao watasema tuna haki ya kuolewa na mume Zaidi ya mmoja
 
Salaam wapendwa,

Roho inaniuma sana ninaposhuhudia ndugu zetu wa upande wa pili wakiwa huru kuoa hadi wake wanne, kwa mambo ninayoyapitia nadhani ni haki yangu roho iniume.Kwa mfano hapa jirani leo baba Nasra anaongeza mke wa tatu na pilau linapikwa hapa, mbuzi wamechinjwa tuyaache hayo.

Ombi langu ni hili, sehemu fulani katika biblia tunashauriwa tuoe mke mmoja tu (kwa wanaume) na hapo tutakuwa kitu kimoja na ukitoka nje ya ndoa unakuwa unazini!.Lakini nadhani ule ni ushauri tu na si amri.Sasa basi,kwanini tusiandae kongamano la wakristo turekebishe huu ushauri ili nasisi tubwede kuoa wake hata watano tu, ili mmoja akileta nyodo unaenda kwa mwingine?


Nawasilisha.
Sio kwamba wenzetu wameruhusiwa moja kwa moja kuoa wake wanne,,, la hasha!
Quran inatoa ruhusa ya kufanya hivo ikiwa tu mwanaume Una nguvu za kimwili za kuwatimizia wote mahitaji yao pasipo upendeleo, kinyume na hapo ni uzinzi tu!!
Sasa hebu nambie ni mwanaume yupi wa kiislamu mwenye uwezo huo wa kuplay fair kwa wake zake wote???
#jibu_baki nalo mwenyewe
 
Salaam wapendwa,

Roho inaniuma sana ninaposhuhudia ndugu zetu wa upande wa pili wakiwa huru kuoa hadi wake wanne, kwa mambo ninayoyapitia nadhani ni haki yangu roho iniume.Kwa mfano hapa jirani leo baba Nasra anaongeza mke wa tatu na pilau linapikwa hapa, mbuzi wamechinjwa tuyaache hayo.

Ombi langu ni hili, sehemu fulani katika biblia tunashauriwa tuoe mke mmoja tu (kwa wanaume) na hapo tutakuwa kitu kimoja na ukitoka nje ya ndoa unakuwa unazini!.Lakini nadhani ule ni ushauri tu na si amri.Sasa basi,kwanini tusiandae kongamano la wakristo turekebishe huu ushauri ili nasisi tubwede kuoa wake hata watano tu, ili mmoja akileta nyodo unaenda kwa mwingine?


Nawasilisha.

wewe kwa kufikiria hivyo tu ukristo unakudondoka kwa hiyo huna wenzako hapa
 
Back
Top Bottom