Wakristo wa Iran washerehekea Pasaka mafichoni

Dini ya kiislamu kila siku nasema ni dini ya kishenzi na isiyojiamini na wanajua dini yao ni ya uongo na wakiruhusu watu wahubiri kuhusu Yesu kristo ambayo ndio njia ya kweli basi watu wengi watahama kwenye uislamu dini ya kulazimisha
 
Tukiwambia ukristo siò dini mnabisha mwenye dini haogopi kitu isipokuwa Mungu.
 
Religious of Peace
 
Kwa hio Vatican kuna msikiti ?
 
Kutakuwaje na msikiti wakati hakuna hata muislam mmoja?
Asa mbona Iran nchi ya kiislam na wakristo wanaishi poa na makanisa yapo .hakuna nchi ya kiislam ikanyima Uhuru wa kuabudu dini ingine.hata huko saudia kuna wakristo pia
 
Asa mbona Iran nchi ya kiislam na wakristo wanaishi poa na makanisa yapo .hakuna nchi ya kiislam ikanyima Uhuru wa kuabudu dini ingine.hata huko saudia kuna wakristo pia
Umeuliza Vatican kuna msikiti? Mi nimejibu kuwa hakuna kwa sababu hakuna Waislam
 
Umewahi kuona katika Jiji la Vatican Kuna swaliwa swala ya Eid ?Kila sehem kuna culture zao
 
Hakuna mtu anakatazwa kwenda kuswali sio Eid tu hata matambiko rukusa
Uliona wapi shughuli za waislamu vatican ? Acha ujinga hakuna hata muislamu mmoja .

Pale tunajua kuna ukristo sio lazima kwenda kwani kuna nn cha maan .

Danganya wajinga wa kijijini kwenu ..Hakuna shughuli hata chembe ya muislamu vatican .
 
Ila tunalalamika China inagandamiza waislam!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…