Wakristo wa Iran washerehekea Pasaka mafichoni

 
Kama pale Zba maustazi walifumwa wakipigana vipara ndani ya selo ya polisi
Sasa wewe kweli wa kuwasema watu wakati upo seminari mafadha walikuwa wanabadilishana tuπŸ˜‚
 

Halafu naona makelele yetu humu yamesababisha mkabadili, juzi serikali ya Zanzibar imetoa tamko kwamba sio taifa la kidini.... Najua hapo ulipo unatamani kulia..
 
Ukiona tu dini ni ya kulazimisha ujue sio ya Mungu. Sio Waislamu tu hata Wakristu zamani waliua sana watu na kuwalazimisha kuamini. Tumia akili sasa ili ujue dini ya kweli. Kwangu imani ya kweli ni ya wahenga wetu waliotangulia mbele ya haki, wao wapo na Mungu wa kweli na sio hawa wa mchongo duniani.
 
Hii nchi mamilioni hawautaki uislam wameshaishi kwene sheria kali za kiislam tangu 1979 wamechoka!
wairan wengi hawatak hata mambo ya hijab
 
Uislam hauwezi compete na dini yeyeto thus unalindwa kwa bunduki,maana wanajua watu wakielezwa ukweli utafutika.
Thus ni Bora ukutwe na bange airport uarabuni na sio Biblia.
 
Uhuru lazima uwe na mipaka wewe usingependa mwanao abadili maadili na aanze kufundishwa ushoga, kisa ni uhuru wake.
Mbona Kuna mashoga kibao kwenye dini yenu Mfano afande rama je wamefundisha na dini?
 
Shetani alitupwa duniani na kazi yake kuu ni tatu kama ilivyoandikwa kwenye biblia.
" Mwizi (Shetani) huja kwa nia ya kuiba, kuua na kuharibu. Nimekuja (Yesu) ili watu wapate uzima; uzima ulio kamili. Saa nyingine tunajikuta tunamsaidia shetani kutimiza malengo yake. Mungu atusaidie tuepukane na huyu shetani na tumfahamu Mungu wa kweli mwenye kuleta uzima maana siku ya hukumu wengi tutaomboleza kwa ajili ya kumsaidia huyu adui shetani kazi zake za kuua, kuharibu na kuiba.
 
Hata hivyo uislam unachakazwa na utachakaa, miaka michache ijayo utasambaratika duniani. Hakuna raia wa dunia hii anayetamani kuwa mfuasi wa dini hiyo. Wanafanya kulazimishwa kuamini allah, kitu ambacho ni sawa na sanamu tu. Ni suala la muda tu hiyo dini itasambaratishwa na kupotea duniani
 
kati ya vitu tunatakiwa kuomba visitokee, ni vita kati ya Israel na Iran. itaathiri uchumi wa dunia nzima, na ndicho Iran atakachofanya. kwasababu supply ya mafuta na gesi ikupungua tu toka Iran (jambo ambalo atalifanya kama kuishinikiza dunia ione madhara ya uchokozi wa Israel), itaathiri sana Africa, na watu wenye kipato cha chini wataumia sana na hata wenye kipato cha juu mitaji itaumia.
 
Nyie msiolinda dini ndo mnatakiwa kufumuana marinda na muwakilishi wa Mungu duniani,papa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…