mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,518
- 19,883
Mbona sisi baniani sikukuu zetu zinapuuzwa na tunaona sawa tu?Wakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto.
Azam TV piga kazi,,,
Anayetaka tangazo alipie,,,msipende huruma za TV.