Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,184
- 10,921
Baraza la mji wa Bethlehm alipozaliwa nabii Issa (Yesu) limeamua kubomoa mapambo yote ya krismas yaliyopo eneo hilo ili kuomboleza vifo vya watoto huko Gaza na mauwaji yanayoendelea maeneo yanayowazunguka.
Huku mainjinia wa mji huo mtakatifu wakiendelea na kazi ya kubomoa aina zote za mapambo yaliyowekwa karibu na miaka iliyopita maafisa wa jiji waliandika kwenye kuraza zao za facebook, X(twiter) na mitandao mengine ya kijamii kuwa hakuna sababu yoyote ya kuwepo alama za sherehe na furaha wakati watu wetu walio Gaza na miji yetu mingine wakiwa wana huzuni na wanauliwa na jeshi la Israel.
"The reason is the general situation in Palestine; people are not really into any celebration, they are sad, angry and upset; our people in Gaza are being massacred and killed in cold blood,"
Huku mainjinia wa mji huo mtakatifu wakiendelea na kazi ya kubomoa aina zote za mapambo yaliyowekwa karibu na miaka iliyopita maafisa wa jiji waliandika kwenye kuraza zao za facebook, X(twiter) na mitandao mengine ya kijamii kuwa hakuna sababu yoyote ya kuwepo alama za sherehe na furaha wakati watu wetu walio Gaza na miji yetu mingine wakiwa wana huzuni na wanauliwa na jeshi la Israel.
"The reason is the general situation in Palestine; people are not really into any celebration, they are sad, angry and upset; our people in Gaza are being massacred and killed in cold blood,"