Wakosoaji wa barua ya kiingereza ya Nape wao kiingereza ndio hawajui kabisa

Kama akili ndio hizi, safari bado ndefu sana.
 
Hiyo barua haina shida. Bongo watu wanakomaa na vitu vya kipumbavu mno. Lugha ni nyenzo ya mawasiliano, kama umeelewa ujumbe wa hiyo barua inatosha kabisa, hayo mengini ni mbwembwe za kijinga tu.
...Hizo unazoita ' Mbwembwe za Kijinga' zinatoka na Makosa ya Watu wanaotakiwa Kuwa Makini na Wakiandikacho, Mkuu.

Haiwezekani Mheshimiwa wako aandike 'USEMI ?' Badala ya ' HUSEMI ?' na Ujifariji Kwa kusema 'mradi tumeelewa', badala ya kumrekebisha ! Hujengi, Unabomoa !
 
Hiyo barua haina shida. Bongo watu wanakomaa na vitu vya kipumbavu mno. Lugha ni nyenzo ya mawasiliano, kama umeelewa ujumbe wa hiyo barua inatosha kabisa, hayo mengini ni mbwembwe za kijinga tu.
Sidhani kama barua ya serikali inatakiwa iwe hivyo sababu kabla ya Saini inabidi ipitiwe na mikono na macho mengi...
 
Hata kazini mkeo akiwa anachepuka muache ataacha mwenyewe
 
Ministry of information and communication technology na ministry of information,communication and information technology ipi imekaa smart.
 
Na vile vikao vya budget huwaga wanajadili nini
 
Hatari sana 😂😂 halafu ni wizara ya habari na mawasiliano lakini kiingereza chenyewe sasa ni kile elementary kabisa.
Tatizo sio kukosewa inaonyesha watu ni wavivu kupita maelezo inaamana hawakuisoma kabisa

Watanzania ni wavivu sana
 
Ushoga umezidi jamii forum.ok kama haukuwa huru rais anakuwa halali?
 
Huna akili wewe!
 
Niseme tu nimesoma tamko la mheshi,kiingereza hakina shida sana ila kinaonyesha kimepakwa Sana mafuta,Kifupi sio Yai tunalolitegemea Kwa mtu profile ya Nape,ambaye kakulia juu ya ndege.Kifupi tamko limekaa kama essay nliyoandika form 4
 
Namjua in personal dogo anatoa takowo hawezi waza wajukuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…