Wakopaji sugu wasiolipa wenye asili MOJA

Wakopaji sugu wasiolipa wenye asili MOJA

Comments ziwe fupi fupi.. Huku background tukisindikizwa na sound track ya nambari wani eehh... Nambari wani ni nambari waniiii....🥱[emoji1544][emoji1550]

DCB COMMERCIAL BANK

DCB COMMERCIAL BANK PLC

KWA WATEJA WOTE WA UVCCM WANAODAIDIWA MKOPO

Kufuatia tangazo lililotolewa na DCB Commercial Bank Pic kuhusu wanufaika wa mikopo ya UVCCM katika gazeti lililochapishwa Desemba 2023, Sasa tunachapisha majina na picha za wateja wa UVCCM wenye mikopo katika Benki ya DCB ambao wameshindwa kuwasilisha, au kufanya utaratibu wa kulipa. madeni ndani ya muda ulioruhusiwa.

Tafadhali kumbuka kuwa kushindwa kulipa madeni yako kutaacha benki bila chaguo lingine isipokuwa kuendelea kukuchukulia hatua za kisheria ndani ya mwezi mmoja kuanzia tarehe ya tangazo hili.

ZINGATIA TAREHE YA TANGAZOView attachment 2876528

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo benki Ina viongozi washenzi sana kwanini watoe mikopo bila collateral yoyote?
 
Comments ziwe fupi fupi.. Huku background tukisindikizwa na sound track ya nambari wani eehh... Nambari wani ni nambari waniiii....🥱[emoji1544][emoji1550]

DCB COMMERCIAL BANK

DCB COMMERCIAL BANK PLC

KWA WATEJA WOTE WA UVCCM WANAODAIDIWA MKOPO

Kufuatia tangazo lililotolewa na DCB Commercial Bank Pic kuhusu wanufaika wa mikopo ya UVCCM katika gazeti lililochapishwa Desemba 2023, Sasa tunachapisha majina na picha za wateja wa UVCCM wenye mikopo katika Benki ya DCB ambao wameshindwa kuwasilisha, au kufanya utaratibu wa kulipa. madeni ndani ya muda ulioruhusiwa.

Tafadhali kumbuka kuwa kushindwa kulipa madeni yako kutaacha benki bila chaguo lingine isipokuwa kuendelea kukuchukulia hatua za kisheria ndani ya mwezi mmoja kuanzia tarehe ya tangazo hili.

ZINGATIA TAREHE YA TANGAZOView attachment 2876528

Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya sababu ya kukataa katiba mpya ni kuficha maovu yao, tukumbuke CCM ilipofilisika mwendazake alitembelea ofisi za CCM na kuahidi watalipwa mishahara siku hiyohiyo na alipofika ikulu malipo yalifanyika, pesa ya bajeti ya mwaka jana ilichotwa ili wafanyie matengenezo viwanja vya michezo walivyopora kutoka serikalini!
Katiba haibagui mtu hivyo ukiona kuna mtu haitaki ujue analinda maovu aliyoyatenda yasifichuliwe.
 
Majina siyaoni vizuri nilitaka nisome yote 😅


Hakuna kitu kibaya kama kuwa maarufu halafu hauna pesa. Ndicho kinachowakutaga wengi hasa wanasiasa underground hutumia nguvu nyingi either ili wajulikane au ili waonekane wanazo
 
Ndio mbogamboga maccm yakisikia tume huru au katiba mpya mishipa huwatoka yapo tayari hata KUUA...

download.jpeg

PS:Watalipa kwa bao la mkono...🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom