Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,002
- 72,284
Niache hukoo nenda kwa wachuchu wakoOh nilidhani na duka unauza.
Niache hukoo nenda kwa wachuchu wakoOh nilidhani na duka unauza.
Shaka ondoa my Wii,kaka angu utampata ngoja niunganishe wayaOooh that's gud nitafutie kaka wa kingoni maana nasikia niwapole sana
Vipi wamekuvuruga huko utokako eeMsaliti Namba moja wa chadema ni Mbowe.
Mbowe ni Yuda esikarioti wa mabadiliko ya kweli ,
Kubadili gia angani na kutuletea Mr zero na Mafisadi kwenye chama ,inauma sana
Saaaaaaaaaaaaana yaaaaani.Kumbe![]()
Hehehhe nilitoka kidogo naona umezimika na mkaanga samaki aka beki tatu kawazidi wenye phd zaoView attachment 371555
Saaaaaaaaana yaaaaaaniKumbe![]()

Na ole wako siku nikukamateee,utakojoa hewa
ulivyonichunia kama vile tunagombea bwana.....lolNiache hukoo nenda kwa wachuchu wako
Aaaa mim na wewee teynaaa,,sikuoni tu,halaf mim na wewe hatuwezi gombea bwana ni tunaachiana tu "kizuri kula na nduguyo"au umeusahau ..ulivyonichunia kama vile tunagombea bwana.....lol
Mzima jamani?
Hapana...supastaa sijawahi kumsaidia.
Kwanza mi na yeye tushawahi kuwa na beef kwa muda mrefu tu hadi hii majuzi ndo naona kidogo amani imerudi.
Na hapana Mangi. Supastaa hanifahamu.
Mtu ambaye kidogo nahisi huenda ananifahamu kidogo ni Maxence Melo....wengine hudhania tu kuwa wananifahamu lakini hakuna kitu. Na ndo maana unaona nina nyodo sana....😀😀😀
Vipicha kidogo ni kama mbilimbi kwenye postView attachment 371497View attachment 371498
Na ole wako siku nikukamateee,utakojoa hewa
He hee heee umemtaja my wife wangu? Yuko "matenite"