Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,949
mnaonaje wa jf
Ni kitu ambacho kimekuwa kwenye fikra zangu kwa muda sasa. Nilipata kusoma mahali kuwa kuna Mangi mmoja alikwenda League of Nations (kama UN ilivyokuwa ikiitwa enzi hizo) kupinga Tanganyika kupewa uhuru kwa vile watu wake hawakuwa tayari kujitawala. I believe the old man was right to some extent given what we are witnessing now! Ukitoa nchi zilizowahi kuwa na vita vya wenyewe, ni serikali ya m.k.w.ere tu iliyoshindwa ku-maintain japo reli ambayo maintenance costs zake is almost negligible!
Thank God, my name will never be directly associated with this pathetically incompetent regime probably globally! Wanatushinda hata Wasomali ambao kwa zaidi ya miaka 20 hawana serikali lakini wanajiendesha bila kutegemea misaada kwa kiwango chetu!!!! Shame on you kikwete na wenzako!