CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Mmmmmh Engeneer B @ work
Freedom is coming today
"But you must be careful so that your freedom does not cause others with a weaker conscience to stumble."
1 Corinthians 8:9
Mmmmmh Engeneer B @ work
Freedom is coming today
Uhuru Oyeeeeeeeeeeeeeeeee! kwani nini isiwe 9.12
.2011 itapendeza eeh!
Acha jazba! Hata Yesu alikufa msalabani kutukomboa wanadamu.huna lolote zaidi ya uchochezi.......................mlalamikaji,,,,,,,,,,,,,,mvivu,,,,,,,,,,,,,muongo,,,,,,,,,,,,,,,,mnafiki..................fanya kazi ACHA KABISA KUDANGANYA WANANCHI..........wewe siiiiiiiiiiiiii mtanzania na wala siiiiiiiiiiii mzalendo...
Wewe ndio mnafki mkubwa mzandiki mshen_nzi chakubimbi mwingereza wewe. Acha wanaume tuingie msituni ***** wewe.huna lolote zaidi ya uchochezi.......................mlalamikaji,,,,,,,,,,,,,,mvivu,,,,,,,,,,,,,muongo,,,,,,,,,,,,,,,,mnafiki..................fanya kazi ACHA KABISA KUDANGANYA WANANCHI..........wewe siiiiiiiiiiiiii mtanzania na wala siiiiiiiiiiii mzalendo...
Waberoya Kwa unafiki hajambo ati!
Vurugu za Mbeya, Arusha na sasa Tabora siyo tu zinawanyima usingizi bali zime-confirm kuwa mwisho wa udhalimu umefika na sasa watanzania wameamka. Kibaya na chakutisha, benki za nje zimeendelea kupokea fedha nyingi zenye majina ya vigogo pasi kufich,a na muda si mrefu wata-anza kuachia madaraka kwa kujiuzulu, kuachishwa na na wako ambao wako tayari kufia humu ndani. Kwa wale ambao wanaonekana wasafi ndani ya CCM bado wako kwenye wasiwasi wa kuaminiwa na jamii. Hivyo muda si mrefu tutawasikia wakihama vyama ama kuungana na mafisadi
Nasema hivi....Nasema kuwa CCM wanaondoka na fedha za taifa hili...AMKA!!!i...hawa CCM .si wahindi ..si wachina..si waarabu ni weusi wenzetu . Ni wale wasaliti wa utaifa na taifa hili.....ni wasaliti wa mababu zetu na utu wetu ndio wanaiba na kuondoka na fedha ...Seriously!
Na wataiacha maskini
CCM ni aibu yetu....tumeiweka aidha ulipiga kura au haukupiga kura...CCM inatakiwa iondoke aidha kwa kupiga kura au bila ya kura!
Mabomu hayasaidii..
risasi zinaleta hamasa..
Virungu vinasisimua mwili..
kifo ni ushujaa !
Tarumbeta kuu na ipigwe na kutoa sauti.....
waambie kaskazini CCM inatosha!
waambie kusini Tanzania bila CCM inawezekana!
waambie magharibi CCM sasa basi
Mashariki na iseme kwa heri CCM!!
Vilima na milima iseme Karibu Tanzania mpya karibu leo... leo.. leo!
watoto wetu na waimbe...karibu Tanzania mpya leo..leo ..leo!
akina mama pigeni vegelegele vijana pigeni mbinja Tanzania mpya inakuja leo...leo..leo!
Akina baba amkeni..barabara zilizojaa madimbwi zinatusubiri..polisi nao wataungana nasi kuipokea Tanzania mpya..leo..leo..leo!
wapinzani unganeni..raha ya nchi mpya..mtoto mpya ni furaha ya wote....tayarisha nepi na manukato TANZANIA mpya inakuja leo..leo..leo!
Akina mama vilio vya kuzalia sakafuni vitaisha.......wazee mliokuwa mkisubiria haya mtalia kwa furaha mkisema
Freedom at last .......Freedoma at last..Thank God we have freedom at last!!
CCM Tuachieni Tanzania yetu!
This dream will take a shorter time to be realized. Now is the time.