MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,478
Habari wana JF
Hizi pombe zilizokuwa zinawekwa kwenye viroba zilikua maarufu kama kubet, zilikua na wapenzi wengi na katazo lake liliwahuzunisha watu wengi. Naomba kupata uzoefu, Maisha yamekuaje baada ya katazo la lake takribani miaka 3 sasa. Embu tupeni uzoefu.
Hizi pombe zilizokuwa zinawekwa kwenye viroba zilikua maarufu kama kubet, zilikua na wapenzi wengi na katazo lake liliwahuzunisha watu wengi. Naomba kupata uzoefu, Maisha yamekuaje baada ya katazo la lake takribani miaka 3 sasa. Embu tupeni uzoefu.