LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,656
Pole yako wewe usiyetaka kustawisha mahusiano yako na kuyajenga kwa kelele kelele, ngedele ndo wale wale kasoro maporibhasi pole dada
Pole yako wewe usiyetaka kustawisha mahusiano yako na kuyajenga kwa kelele kelele, ngedele ndo wale wale kasoro maporibhasi pole dada
mmh! Umejuaje kama mahusiano yangu hayako poa, unanidhania visivyo.Pole yako wewe usiyetaka kutastawisha mahusiano yako na kuyajenga kwa kelele kelele, ngedele ndo wale wale kasoro mapori
Sasa uliposema pole ulimaanisha nn? Usipende kuvamia usivyovijuammh! Umejuaje kama mahusiano yangu hayako poa, unanidhania visivyo.
nimekupa pole kwa kutangaza kuchepuka kisa umekuta condoms kwa nguo ya mmeo. Kama una hamu ya kutusi bhasi mtusi mmeo kwa uchepukaji na siyo mimi.Sasa uliposema pole ulimaanisha nn? Usipende kuvamia usivyovijua
Hivi una wazimu ama? Umenifananisha? Mimi sijawahi sema hicho kitu unachokiongelea na sijawahi kuta condom kwenye Nguo ya mume wangu, naona umenifananisha, naomba uthibitishe hicho unachokiongeanimekupa pole kwa kutangaza kuchepuka kisa umekuta condoms kwa nguo ya mmeo. Kama una hamu ya kutusi bhasi mtusi mmeo kwa uchepukaji na siyo mimi.
ooh! Huenda nimekosea bhasi yaishe dada maana tumeagizwa kuishi kwa upendo. Barikiwa.Hivi una wazimu ama? Umenifananisha? Mimi sijawahi sema hicho kitu unachokiongelea na sijawahi kuta condom kwenye Nguo ya mume wangu, naona umenifananisha, naomba uthibitishe hicho unachokiongea
Next time usinifanyie hivyo, usiniongelee vibaya hata kwa mabaya maana itakua ni kueneza ubaya! Siku njemaooh! Huenda nimekosea bhasi yaishe dada maana tumeagizwa kuishi kwa upendo. Barikiwa.
sawa kabisa nimekuelewa, shinda vyema kwa furaha.Next time usinifanyie hivyo, usiniongelee vibaya hata kwa mabaya maana itakua ni kueneza ubaya! Siku njema
Samahani naweza kukupm?!11,10,7,5,2,1![]()

Unaanzaje sasa kumcheat mwanamke wa ivo,ukimcheat tu laana lazma ikuandame na unaweza kufia kifuani kwa mchepukoMbona my wife ndio tabia zake hizo!!akiwa mjzito ndio tatizo,ila siku ukisema hata unasafiri utamuonea huruma,kama safar sio muhimu sana waweza ahirisha,samahan ndio silaha yake kuu,ananipenda sana ofcourse,sijawahi kufikiria kumcheat wife,njooni Tanga nawashauri.
Mm ninayeHIVI WAPO WAPI SIKU HIZI WANAWAKE WENYE SIFA HIZI?
.
.
1.Anaekuomba msamaha
wakati hajakufanyia chochote kibaya.
.
.
2.Yule anaelia sababu
anakupenda au kukukumbuka.
.
.
3. Anaejaribu kukurudisha
wakati mlisha achana.
.
.
4.Hata umuumize kiasi gani,bado
atakuambia anakupenda na kukufanyia yote
utakayo.
.
.
5.Anaeacha kurumbana na wewe ili kuunusuruuhusiano wake.
.
.
6.Anaefanya ujisikie wewe ni wa pekee kwake, na kujaribu kukupa furaha.
.
.
7.Pale anapojisikia vibaya lakini
hawezi kukwambia baada ya wewe kuhaibika.
.
.
8.Anaetaka kukuacha sababu ya
ukorofi au tabia nyingine kama nizo,lakini hakuachi.
.
.
9.Anaesema anakupenda au
kukumbatia mbele za watu bila kujali macho yao.
.
.
10.Anaekuwa karibu na wewe zaidi wakati wa matatizo.
.
.
11.Anaetoa tabasamu lake halisi kila akuonapo au kusikia sauti yako.
.
.
KAMA YUPO MTAANI KWENU NIITE NIJE NIWATEMBELEE.
Nahic mkeo umemuoa kabla ya mwaka 1990, ila baada ya hapo huwezi kumpata... Niko tayari kukosolewaMbona my wife ndio tabia zake hizo!!akiwa mjzito ndio tatizo,ila siku ukisema hata unasafiri utamuonea huruma,kama safar sio muhimu sana waweza ahirisha,samahan ndio silaha yake kuu,ananipenda sana ofcourse,sijawahi kufikiria kumcheat wife,njooni Tanga nawashauri.
Mkuu mbona juzi tu 2010Nahic mkeo umemuoa kabla ya mwaka 1990, ila baada ya hapo huwezi kumpata... Niko tayari kukosolewa
Mkuu hayupo, npo kwenye ndoa najuaMkuu mbona juzi tu 2010