kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,128
- 16,096
Angalia hizi picha hakuna kuvaa barakoa lakini wakigeuka huku wanampinga magufuli kwamba watu wanazikwa na serikali haitoi takwimu sahihi.
Pongezi Magufuli, Majaliwa na waziri Ummy. Tunawaona popo kweupe mchana!
Pongezi Magufuli, Majaliwa na waziri Ummy. Tunawaona popo kweupe mchana!