Wako wapi wanaMMU hawa?

Wako wapi wanaMMU hawa?

Nilikuwa nalea my kiddo...
Nawaulizia hasa hawa wawili. Wa kwanza ni Mkuu CHAI CHUNGU. Huyu ni mwanzilishi wa simulizi za kusisimua na zenye muendelezo. Amepotea sana.

Wa pili ni Mkuu Zahra White. Huyu alijipambanua kama mwanadada wa kileo,mrembo na wa mjini hasa. Mabandiko yake yalitikisa hapa MMU. Naye amepotea sana.

Wakuu jitokezeni. Au mwenye taarifa zao azimwage hapa.
 
Malaria sugu. masai dada huyu nilimuona karibuni . liz huyu alifanya nijiunge jf kuchangia hadithi yake 2011 au 12 . X paster . Watu8 hawapo active sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom