Wako wapi wanaMMU hawa?

Wako wapi wanaMMU hawa?

Huu ni ulimwengu wa multiple id's, huwa zatumiwa kwa misimu tu...
 
Hahaha! watu wana log off halafu wana log in id nyingine.

Yaani ni balaa, au mtu ana smartphones mbili. Vitu vingine common sense tu. Wala haviitaji shule kujua nini kinaendelea. Ila mwisho wa siku hazuiwi mtu kuwa na ids nyingi.
 
inawezekana pia unaweza kuwa wewe mwenyewe mtoa mada

Au anaweza akawa ndo wewe! Na wewe sasa unadhani ye ndo mimi. Yaani, duh! Hii ishu ya IDs ishakuwa balaa. Unaweza ukawa unabadilishana mawazo na IDs kama 10 hivi kumbe kiukweli mko 3 tu. Hamna 'kuaminiana' kabisa. Ni kama unapigana na mtu gizani, yeye kavaa night vision glasses wewe mtupu. Hujui atakubamiza wapi hata!
 
Yuko wapi OIL CHAFU na second LADY? hawa mara ya mwisho walipendana kwenye daladala wakati OIL CHAFU akienda bandarini kuagiza gari kisha second LADY akaja hapa kuanzisha thread kuwa kakutana na bonge la dume....Anaenda bandarini kuchukua gari kwa daladala!!!
 
Last edited by a moderator:
Yan inaweza kuwa post zoootee hizi zimeanzishwa na mtu mmoja Ids tofauti...Au hata threads zooote humu zimeanzishwa na member kama kumi hivi ila Ids zaidi ya milioni.....!
 
Au anaweza akawa ndo wewe! Na wewe sasa unadhani ye ndo mimi. Yaani, duh! Hii ishu ya IDs ishakuwa balaa. Unaweza ukawa unabadilishana mawazo na IDs kama 10 hivi kumbe kiukweli mko 3 tu. Hamna 'kuaminiana' kabisa. Ni kama unapigana na mtu gizani, yeye kavaa night vision glasses wewe mtupu. Hujui atakubamiza wapi hata!

inawezekana pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom