mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Anakwambia ukimaliza kusoma namba za kirumi soma za kiarab.Sijaona home work hapo mkuu, zaidi zaidi ni umetoa sentensi tata isiyo na maana.. Au tatizo shule?
Lakini dar usihame
Anakwambia ukimaliza kusoma namba za kirumi soma za kiarab.Sijaona home work hapo mkuu, zaidi zaidi ni umetoa sentensi tata isiyo na maana.. Au tatizo shule?
Asante kama ni sifaHongera nawewe kua mtu wa dar es salaam
True story ina jinsia?Wanaume wa dar topic zao za kike kike
Sahiv pesa na ndo natafuta.. Zikishakuwa nyingi ntaweka na uzi hapa usijali mkuuSaivi unatamani nini
Wewe upo nchi gani mkuu?Watoto wa Dar wengi tuliondoka kwenda ughaibuni kabla hujafika mjini Dar. Kuanzia miaka ya mwisho ya 90 watu waliondoka sana Dar kwenda Ulaya, Asia na Marekani.
Marekani.Wewe upo nchi gani mkuu?
Umeuliza swari au?True story ina jinsia?
We si umeupa huu uzi hadhi ya kike....Umeuliza swari au?
Na wewe unatamani ujeHongera Yako
Anamaanisha umeisoma nambaSijaona home work hapo mkuu, zaidi zaidi ni umetoa sentensi tata isiyo na maana.. Au tatizo shule?
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai.. Namba siwez kuisoma ngoooAnamaanisha umeisoma namba
So mkuu Ngabu na wewe ni mtoto wa Dar wa miaka hiyo mwishoni mwa 90ś... Hongera kwakoWatoto wa Dar tupo viwanja vikubwa sasa hivi...
Mimi ni mtoto wa Dar miaka yote...So mkuu Ngabu na wewe ni mtoto wa Dar wa miaka hiyo mwishoni mwa 90ś... Hongera kwako
Mji una wenyewe huu...Angalia usije ukarudi Kibosho mangi...Daslam hapachokeshi ndo maana unaona serikali inahamia Dom lakini Ngosha tunapishana naye hapa mjini kila siku.
Mji una wenyewe huu...