Wako wapi? Uliza walipo ujibiwe

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,312
Reaction score
90,561
Uzi wa kufahamu walipo kwa sasa na wanachofanya wenye majina yaliyowahi kuwika sana Tanzania

Yuko wapi Tundu Antipas Lissu?
Yuko wapi Dr. Edward Hosea? wakati huu wa kuelekea uchaguzi angekuwa ameshajitokeza sana
Yuko wapi Yusuph Manji aliyewahi kuwa bilionea wakati fulani?

Yuko wapi Benno Ndulu mmojawapo wa magavana bora wa benki kuu Africa?
Wako wapi Suleiman Kova na Alfred Tibaigana?
 
Yuko wapi Mabeno Villa.....
ni mwanamziki wa zamaaani sana.
 
Yuko wapi Bwana Marando?
Yuko wapi mrembo Manka Mushi?
Yuko wapi ndugu Jerry Silaa?
Yuko wapi Vengu wa kundi LA Ze Comed?
Yuko wapi dada Shy-Rose Bhanjy?
Yuko wapi my dear Sauda S. Kilumanga?
Yuko wapi Mzee Helbert Mtangi na Muheza?
Yuko wapi mzee wangu Ombeni Thefue(Sefue)?
Yuko wapi Boss Haruna Masebu(was Ewura Director)?
Yuko wapi Mzee Rajabu Kiravu?(Najua upo mwenge SDA pale kanisani)
Yuko wapi Kanali Iddi Kipingu(Makongo dec)?
Yoko wapi Kaka Shabani Gurumo (Mnikulu)?
Yoko wapi Kaka Salvatory Rweyemamu?
(My people tumekula Sana Sambusa Za Ikulu 2005-2015)




Wapo wengi sana nawamiss watu wangu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…