Wana jamii,
Kuna hawa watanganzaji wawili waliibuka sana kipindi kile -- nakumbuka at my school age nilipenda kwenda pale salentine inn -- mwenge siku za weekend lazima utamkuta monica mfumia pale na marafiki zake -- pia Misanya naye aliibukia sana anga za utangazaji wa Redio.
Ningependa kujua hawa watu wapo kweli bongo land? na wanafanya nini mbona hatuwasikii katika tasnia ya utangazaji? ni info tu wakuu sina makuu.
Kuna hawa watanganzaji wawili waliibuka sana kipindi kile -- nakumbuka at my school age nilipenda kwenda pale salentine inn -- mwenge siku za weekend lazima utamkuta monica mfumia pale na marafiki zake -- pia Misanya naye aliibukia sana anga za utangazaji wa Redio.
Ningependa kujua hawa watu wapo kweli bongo land? na wanafanya nini mbona hatuwasikii katika tasnia ya utangazaji? ni info tu wakuu sina makuu.