Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,880
- 828,435
Mungu hadhihakiwi!
Wamefubaa/ wamefubazwa mitandaoni
Masanja mkandamizaji.. Sehemu kubwa ya mahubiri yake kwenye kanisa lake la mchongo ilikuwa kumsifia mkewe na wanawake wenye makalio makubwa! Akaishia kupigwa baya na baadae katibu wake akafariki kifo tata! Tangu hapo akageuka kuwa chawa anayekera sana.. Hasikiki tena sasa!
Tony Kapola na muujiza wa kujaza mtungi wa gesi kimiujiza..muujiza huo aliusema mkewe na kuzua gumzo kubwa mitandaoni!.. Wawili hawa badala ya kutubu na kuwa wanyenyekevu wakaanza kejeli kashfa na dharau kwa kila aliyejaribu kuhoji muujiza wa gesi.. Baada ya tukio hilo walipotea na hawakutrend tena
Hananja
Mchungaji mlamba midomo aliyekuwa anatrend sana mitandaoni kutokana na style yake ya kuhubiri
Karibia na uchaguzi mkuu akaamua kuwa upande wa dhuluma na kuwananga watanganyika kwa vijembe na kelele.. Huo ulikuwa mwisho wake wa kutrend!!.
Je wanaweza kujifananisha enzi zao na sasa!?
Wamefubaa/ wamefubazwa mitandaoni
Masanja mkandamizaji.. Sehemu kubwa ya mahubiri yake kwenye kanisa lake la mchongo ilikuwa kumsifia mkewe na wanawake wenye makalio makubwa! Akaishia kupigwa baya na baadae katibu wake akafariki kifo tata! Tangu hapo akageuka kuwa chawa anayekera sana.. Hasikiki tena sasa!
Tony Kapola na muujiza wa kujaza mtungi wa gesi kimiujiza..muujiza huo aliusema mkewe na kuzua gumzo kubwa mitandaoni!.. Wawili hawa badala ya kutubu na kuwa wanyenyekevu wakaanza kejeli kashfa na dharau kwa kila aliyejaribu kuhoji muujiza wa gesi.. Baada ya tukio hilo walipotea na hawakutrend tena
Hananja
Mchungaji mlamba midomo aliyekuwa anatrend sana mitandaoni kutokana na style yake ya kuhubiri
Karibia na uchaguzi mkuu akaamua kuwa upande wa dhuluma na kuwananga watanganyika kwa vijembe na kelele.. Huo ulikuwa mwisho wake wa kutrend!!.
Je wanaweza kujifananisha enzi zao na sasa!?