Nigga What
Senior Member
- May 1, 2021
- 164
- 448
- Thread starter
- #21
Mbona hawa hukuwataja?
Tajiri Kichwa TAJIRI MKUU WA MATAJIRI Tajiri mpole tajiri wa mwanza TAJIRI MSOMI


Mbona hawa hukuwataja?
Tajiri Kichwa TAJIRI MKUU WA MATAJIRI Tajiri mpole tajiri wa mwanza TAJIRI MSOMI


Tajili Wille wa Mahewa
Alikua anaimbwa sana na SamirNdio alivuma
Walikimbilia Uganda enzi ya Jiwe! Sasa wamesikia mshikaji wao VascoDagama ameshika hatamu na Amos Makalla ndio mkuu wa mkoa wa DSM wameanza kurudi mmoja mmoja. Wapo mjini wanabarizi!

Mkuu kama mtu anaweza ku survive Bongo, Uganda, South Africa mpaka America huyo mtu iko akili mu kichwa aiseeNchi imefunguliwa yatarudi tena haya majizi kumwaga noti. Uliowataja hapo hakuna hata mmoja mwenye akili binafsi ya kutengeneza mfumo wa kumpa pesa nje ya upigaji, dhuluma, feki, wizi. Jizi Sugu Alex massawe lipo south. Jack Pemba alikimbilia Uganda kisha USA. Kina Nyari na Mawalla walikuwa mawakili wa kutetea wezi.Yamewapiga Sana wazungu kuwauzia vitalu na madini feki.JPM ndie aliyasambaratisha majizi yote. Naona mama atayarejesha



Huyo si boss wa tp mazembe mkuu kama ni huyo bado yupo vizuriBila kumsahau Mzamiri Katunzi![]()
Mzamiri Katunzi na TP Mazembe wapi na wapi? Mzamiri yupo Mbezi Beach kajifungia pengine atatoka sasa mjomba wao wa Msoga ameshika nchi!Huyo si boss wa tp mazembe mkuu kama ni huyo bado yupo vizuri
Usichanganye Mose Katumbi na Mzamiri Katunzi mkuuHuyo si boss wa tp mazembe mkuu kama ni huyo bado yupo vizuri
Kila zama na kurasa zake.Wako wapi Ndama mutoto ya ng'ombe, Abdul tall, Chief Kiumbe the big boss, Jacky Pemba, Texas Istadh Juma na Musoma, Brother K na Tunduma, Papaa Mutarika walitamba sana hapo nyuma walikuwa wakimwaga noti kwenye show za dansi kama mchanga.
Bila mapapaa mziki wa dansi haunogi