Wote wapo isipokuwa Kibunango aliyeamua kupumzika kuchangia ila hupitapita kusoma tu.Hao wengine kama kweli ulipenda michango yao basi soma kwa makini...wapo!
Ukiona watu wamepotea, kuna mengi yanawakuta hasa sisi binadamu, hivyo tusishangae achalia mbali wanaingia kwa mgongo wa nyuma, Leo Nyamayao kesho pr------,.