mhalisi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,181
- 320
Watanzania bila shaka mliokuwa mnasikiliza muziki wa kizazi kipya tangu miaka ya nyuma mtakuwa mnamkumbika mwana hip hop balozi dola soul ambaye ni swahiba mkubwa wa jembe letu la Mbeya mjini, Mheshimiwa Sugu, naulizia yuko wapi siku hizi Balozi Dola Soul?