Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,942
- 6,183
Kiukweli unapozungumzia majemedali nchii hii huwezi kukosa jina Mkwawa.Sasa hili jina limefutika katika siasa za Tz,je Mkwawa family wameshindwa kuendeleza kizazi cha viongozi?Tangu adam sapi mkwawa hajaibuka jemedali mwingine.Nimechoka kusikia vituko vya yule wa Mbeya,ina maana Iringa hakuna tena vichwa vya kuiwakilisha.JPM ikumbuke hii familia katika teuzi zako babu yao alifanya makubwa kwa ajili ya taifa,sio vibaya kila awamu wapewe angalau kanafasi kamoja japo sio lazima.