lui03152
JF-Expert Member
- Nov 27, 2020
- 250
- 338
Leo kiongozi wetu mkuu wa Serikali ya awamu ya 6 akizungumza na wazee ametoa onyo kali kwa baadhi ya watu wanaojaribu kupima level ya maji na kuwaambia waache kabisa hayo majaribio yao.
Hivi ni nani hawa. Wana jamvi naomba kuwasilisha wapembuzi wa mambo haya mukuje kutudadavulia hii ishu!!...
Hivi ni nani hawa. Wana jamvi naomba kuwasilisha wapembuzi wa mambo haya mukuje kutudadavulia hii ishu!!...