Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 62,529
- 157,375
Kuna kitu nimekutumia kaangalie
Sasa si mngekuwa tu mnazioa tu hizo nyumba dogo from the very beginning as zimekamilika, kuna haja gani kwenda kuoa mtu unayeona ana mapungufu afu unatafuta aliye mkamilifu wa kuchepuka naye? Mnajitesa eti
Kwa hiyo Ukienda nyumba ndogo ndo facebook au insta ya mkeo inajifunga? Huyo ndo kichwa cha familia kilichoambiwa kiishi na mkewe kwa akili? Kama huwezi kucommunicate na mwenzako na kumrudisha kwenye mstari, then ooops....Hujaelewa kitu bado. Hizo nyumba ndogo zinakuja pale tabia ndani ya nyumba inaposhindikana ndipo unakuta mtu anaona bora isiwe kero....anatoka na kwenda kujitafutia sehemu tulivu ya kujisitiri. Kina dada ndio wanaosababisha sie kutafuta nyumba ndogo. We umeona wapi, mtu anahamka asubuhi kabla ya kufanya kitu yuko anapekua Insta au fesikubu kujuwa wamarekani weusi wamefanya nini jana wakati yeye kalala au Wema analatiwa na nani ili siku yake iende salama.
Kwa hiyo Ukienda nyumba ndogo ndo facebook au insta ya mkeo inajifunga? Huyo ndo kichwa cha familia kilichoambiwa kiishi na mkewe kwa akili? Kama huwezi kucommunicate na mwenzako na kumrudisha kwenye mstari, then ooops....
There is no justification for cheating, ni kuendekeza tu umalaya
Habari za leo wapendwa,
Mkaka upo nae kwenye mahisiano ukipika wali maharage anakwambia ladha mbona ni tofauti na maharage anayopika mama si wali maharage tu hii ilikuwa ni mfano tu. Anakwenda mbali zaidi glass kabatini ukizifunika anakwambia mama yeye anzisimamisha. Hivi unawlewa kuwa siishi maisha ya mama yako? Elewa kuwa mimi ni nafsi tofauti na nafasi yangu ni tofauti na ya mama yako.
Poleeee maana mnafikiri mnawakomesha wake zenu kumbe mnajikomoa wenyewe. Huwezi kushindana na mpumbavu kwa kuwa mpumbavu pia. Mwenye ufahamu na afahamu hiloTatizo mmeshindikana kwani hamtaki kuambiwa ukweli. Mnatufundisha kutafuta hizo nyumba ndogo kila kukicha kwa kujifanya mnajuwa kumbe mwaungua na jua. Endeleeni tu.
duhh! hujui atiiiSamahani mkuu hivi hili neno "MAKINIKIA" huwa linamaanisha nini? Maana nimeona member wengi humu jf mkilitumia
Pole jamen mapenzi nikubembelezana ukitumia hasira hamtafika jameniHabari za leo wapendwa,
Mkaka upo nae kwenye mahisiano ukipika wali maharage anakwambia ladha mbona ni tofauti na maharage anayopika mama si wali maharage tu hii ilikuwa ni mfano tu. Anakwenda mbali zaidi glass kabatini ukizifunika anakwambia mama yeye anzisimamisha. Hivi unawlewa kuwa siishi maisha ya mama yako? Elewa kuwa mimi ni nafsi tofauti na nafasi yangu ni tofauti na ya mama yako.
Msaada wako tafadhari kama unajua naomba unifahamishe maana naona linatumika sanaduhh! hujui atiii
Poleeee maana mnafikiri mnawakomesha wake zenu kumbe mnajikomoa wenyewe. Huwezi kushindana na mpumbavu kwa kuwa mpumbavu pia. Mwenye ufahamu na afahamu hilo
Hapana nyie ndo wapumbavu mnaofanya mambo ya kijinga in the name of kuwakomesha wake zenuKwa hiyo unakubali kuwa nyie ni wapumbavu?
Habari za leo wapendwa,
Mkaka upo nae kwenye mahisiano ukipika wali maharage anakwambia ladha mbona ni tofauti na maharage anayopika .
Hapana nyie ndo wapumbavu mnaofanya mambo ya kijinga in the name of kuwakomesha wake zenu
Me stress sina, na namshukuru Mungu huwa ananipiga upofu dhidi ya wanaume wa type yako. They are plenty of good men outside there ambao wanaheshimu maumbile yao na sio kujiendekeza na upuuzi eti wanaume mmeumbwa kuonja onja khaaa, mnaonja chumvi au sukari? Shame. Jisemee wewe na hao wanawake unaokutana nao, usiwasemee wanaume wenye akili njema. Uwe na usiku mwemaHapana unakariri tu, usifanye hivyo utajilostisha. Ni hivi, jinsi tulivyoumbwa tumekuwa watu wa kuonja onja kila kukicha na haturidhiki na bahati mbaya hata hao wanaotutongoza pia ni wake za wenzetu. Usishangae hata wewe ukilala na mimi siku ya kwanza tu nitakukinai na kuwaza namna ya kukukimbia tukiwa bado kitandani. Tumeumbwa tofauti sana, huku wewe unawaza namna ya kunipata mimi kuwa mumeo mtarajiwa, mwenzio nawaza namna ya kukukimbia kama hujuwi gegedo vizuri. Tatizo ni hilo tu, usijipe stress bure.