Wakina dada wa JF acheni kufunga pm zenu

Hahaha kwani nikuzimikia I'd tu pekee huko huwa watu Wana Tiana genye kwa kutumiana mapicha picha. ...

Sasa waweza kuta umenitumia picha halafu nikakuta mtoto una ng'aa kama mbala mwezi. ..Hapo sasa lazima nitaingia maharibuni tu ..nikikuacha hata kuku watanicheka. .... so ili kujiepusha na yote hayo ndio maana huwa na amua kupiga kufuli
Na wewe utazimikiaje ID? Kwamba kitaani wameisha!
Hata mkizimikiana penzi litaishia humo humo PM still haitakuwa na madhara.
Ila wale wapenda vipochi manyoya ndo tutakuta miili mabwepande
 
Hahaha kwani nikuzimikia I'd tu pekee huko huwa watu Wana Tiana genye kwa kutumiana mapicha picha. ...

Sasa waweza kuta umenitumia picha halafu nikakuta mtoto una ng'aa kama mbali mwezi. ..Hapo sasa lazima nitaingia maharibuni tu ..nikikuacha hata kuku watanicheka. .... so ili kujiepusha na yote hayo ndio maana huwa na amua kupiga kufuli
Aloooo! Kumbee
 
Back
Top Bottom