Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,406
Kikuma mwisho wa siku unapewa kipoozeo
Mbna kama umeandika tusi
Kikuma mwisho wa siku unapewa kipoozeo
Kikuma mwisho wa siku unapewa kipoozeo
Sema pm kuna vituko sana.
Tatizo huku mtu anakuja pm usipomjibu anakutukana.
Wakati mwingine kuliko ugombane na mtu bora ujifungie zako tu.
Yangu inakaaga wazi upumbavu ukizidi naifunga
Mbna kama umeandika tusi
Hahahaha wewe umevurugwa ujue. ... au umesha nusa harufu kuwa Pascal Mayalla anataka kupewa uteuzi na Jiwe
Ha ha ha typing error, ila umeelewaMbna kama umeandika tusi
😂😂😂🏃Ngoja nikutafutie match wako
..stay tune
Ni kikiuma au kikuma ... mkuu ?
Hata mimi nimestaajabu
Nawapaga pole sana aisee... tunashuhudiaga mengi sana... mkikosana mambo yote hadharani...
Kuna binadamu wana mambo ya ajabu sana...
Cc: mahondaw
Unatumia TecnoHa ha ha typing error, ila umeelewa
Nyota 5 huko milion si itakaa chini ndani ya dakika zero....Waooooh jaman unatakiwa unipeleke hotel za nyota 5 hahahaha
Na wewe utazimikiaje ID? Kwamba kitaani wameisha!
Hata mkizimikiana penzi litaishia humo humo PM still haitakuwa na madhara.
Ila wale wapenda vipochi manyoya ndo tutakuta miili mabwepande
Ndio, vyuma mamaUnatumia Tecno
Hahahahaha. . Naomba unifanye kaka yako please ili huyo mayalla akianza kukuhonga Honga namimi walau nipate vijisenti vya kuweka mafutaYan kuna Uzi Jana umefutwa lakin like nilipata mpaka za mod wa jf nilivyosema nataka nimtunuku penzi Paschal Mayalla.
Nyota 5 huko milion si itakaa chini ndani ya dakika zero....
Ningependekeza mushi bar kuna mizuka kidogo.
Ndio, vyuma mama
Aloooo! KumbeeHahaha kwani nikuzimikia I'd tu pekee huko huwa watu Wana Tiana genye kwa kutumiana mapicha picha. ...
Sasa waweza kuta umenitumia picha halafu nikakuta mtoto una ng'aa kama mbali mwezi. ..Hapo sasa lazima nitaingia maharibuni tu ..nikikuacha hata kuku watanicheka. .... so ili kujiepusha na yote hayo ndio maana huwa na amua kupiga kufuli