Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,100
- 188,229
Kwa kweli, ule tu pilau ulaleSitoki siku yenyewe j3 haina mvuto.
Kwa kweli, ule tu pilau ulaleSitoki siku yenyewe j3 haina mvuto.
Hii ni kama Thread ya tatu Hiv naona mapm pm tu tunakwama wapi jaman!!? Tufungueni thread moja ambayo itakuwa na kila kitu mdada or mkaka weka request watu warespond
NB:Ukiona mtu kafunga pm yake ujue hajawa interested na wewe
Pilau naitoa wapi hapa.Kwa kweli, ule tu pilau ulale
Unakuta yuko single/ mother,huko mtaani Hana soko, kabisa huku Kuna vijana wasiotumia vumbi la kongo a.k.a mundende ya papaaa bana kongo anafunga pm alafu akifika 35+ hajaolewa anaseama kalogwa ooh kila mtu ana bahati zake wakati pm mmefunga na mnachangua wenye magar wakati baako hata baiskel ya kukodi hajawah kukodiHello..! warembo wa humu.
Unakuta umeuelewa hata mwandiko wa mdada unamfata pm mbadilishane hata mawazo unakuta kafunga pm. Aaaaarrrghh....
Msitufungie huko pm basi.
Uzi tayari.
Mbona povuUnakuta yuko single/ mother,huko mtaani Hana soko, kabisa huku Kuna vijana wasiotumia vumbi la kongo a.k.a mundende ya papaaa bana kongo anafunga pm alafu akifika 35+ hajaolewa anaseama kalogwa ooh kila mtu ana bahati zake wakati pm mmefunga na mnachangua wenye magar wakati baako hata baiskel ya kukodi hajawah kukodi
Kweli kabisa naunga mkono wazo lako
Hii ni kama Thread ya tatu Hiv naona mapm pm tu tunakwama wapi jaman!!? Tufungueni thread moja ambayo itakuwa na kila kitu mdada or mkaka weka request watu warespond
NB:Ukiona mtu kafunga pm yake ujue hajawa interested na wewe
Mmh mimi nimekutana na kufuli kama upo JelaMe nimefungua bwana
Unakuta yuko single/ mother,huko mtaani Hana soko, kabisa huku Kuna vijana wasiotumia vumbi la kongo a.k.a mundende ya papaaa bana kongo anafunga pm alafu akifika 35+ hajaolewa anaseama kalogwa ooh kila mtu ana bahati zake wakati pm mmefunga na mnachangua wenye magar wakati baako hata baiskel ya kukodi hajawah kukodi
Naomba nikupm
Kabisaaa! 😂😂 ila sahivi vyuo vimefungwa wao ndo watatugombaniaNaweka order kabisaa wanaume wachache mamy tunagombaniana
😂😂nitalitoaaMmh mimi nimekutana na kufuli kama upo Jela
Hahaha wewe sina tatizo nawe. .nadhani mwenyewe unajua kabisa
Kabisaaa! ila sahivi vyuo vimefungwa wao ndo watatugombania
Sijui sasa kama Nina kweli maana naona dall mbaya
nitalitoaa
Dongo LA nini Leo sikukuu🙄Pilau naitoa wapi hapa.
Natoa dongo tu leo
HahahahaAcha tu wawafungie.
Mafurushi.