Wakina dada kama hawa wapo huko kwenu ?

Wakina dada kama hawa wapo huko kwenu ?

japo sipendi kuomba hela ya mtu napenda zawadi mwanaume ambae sio romantic simtaki atanipa maswali sana
zawadi tu? hilo kwangu sio tatizo, andaa tu sehemu ya kuziweka,
ni uongo tu wa kutoa laki atoke wapi
inategemeana unajua!

kuna wanawake wengine hawaombagi hela kabisa, sasa siku mwanaume akiamua ajiongeze ndio anamwaga hata zaidi ya hapo
 
Hahahaa mm ninako kamoja japo nimchepuko nakapenda sana aitheee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom