Wapo Brother, wapoMSICHANA: Baby Naomba Unisaidie Pesa Nikaweke Vizuri Nywele Zangu Naona Haziko Sawa(Jamaa Akazama Mfuko Akachomoa Noti Kadhaa Za Elfutano tano Na Kumpatia Msichana)
JAMAA: Baby Japo Najua Pesa Hiyo Ni Kidogo Ila Ukiipangilia Vizur Inaweza Kukutosha
(Msichana Baada Ya Kuzihesabu Na Kukuta Zipo 100,000/- Akachukua 15,000/- Halafu Ile 85,000/- Iliyobaki Akamrudishia Jamaa Kisha Akasema🙂
Baby Hii 15,000/- Inanitosha Hiyo 85,000/- Utaitumia Kwa Mambo Mengine,
Hupaswi Kuanza Kutumia Pesa Nyingi Kwaajili Yangu Sasaivi Ila Utakapokuwa Umenioa Ndipo Utapaswa Kufanya Hivyo.
Hivi wasichana/wanawake Kama Hawa Bado Wapo huko mtaani kwenu??kama wapo hata 10 nakuja kuoa wote
Hongera .ahahaaa pole mimi wala sipendi hela ya mtu sijui kwanini
Kwani ukimpa huwez mpiga chini?Hao ndo wale wanajifanya wife material af at the end wanapigwa chini to
Ofcourse ila wapo.Ila naamini bado wapo, sema kuwatambua ni mtihani tosha
pole sana kwaji wewe hujisgughulishi?Hongera .
Mimi napenda sana wakati mwingine navunga kama sipendi ila moyoni duuuh
sasa unampa laki kwajili ya nywele? au anaenda kukuza kama rooney?MSICHANA: Baby Naomba Unisaidie Pesa Nikaweke Vizuri Nywele Zangu Naona Haziko Sawa(Jamaa Akazama Mfuko Akachomoa Noti Kadhaa Za Elfutano tano Na Kumpatia Msichana)
JAMAA: Baby Japo Najua Pesa Hiyo Ni Kidogo Ila Ukiipangilia Vizur Inaweza Kukutosha
(Msichana Baada Ya Kuzihesabu Na Kukuta Zipo 100,000/- Akachukua 15,000/- Halafu Ile 85,000/- Iliyobaki Akamrudishia Jamaa Kisha Akasema🙂
Baby Hii 15,000/- Inanitosha Hiyo 85,000/- Utaitumia Kwa Mambo Mengine,
Hupaswi Kuanza Kutumia Pesa Nyingi Kwaajili Yangu Sasaivi Ila Utakapokuwa Umenioa Ndipo Utapaswa Kufanya Hivyo.
Hivi wasichana/wanawake Kama Hawa Bado Wapo huko mtaani kwenu??kama wapo hata 10 nakuja kuoa wote
umeolewa? kama bado basi hongera umebahatika kuonana na mimitupo ambao hata hyo kumi na tano hatuchukui.nywele zangu mwenyewe hela ya saluni atoe mwingine ni akili au matope?
Hahahahahhh hapana bwana wanawake wale wa kutupiga mizinga ni wametoweka saiz wanawake wengi wapo kimaslahi akiona rafiki yake kanunua nguo nzuri naye anaitaka hapo mzinga unachukua nafasi tena vibinti vya leo ukithubutu tu kumpa hela aliyoomba utaenda kulala hoi utakatikiwa mauno mpk ukomelabda mnadate vishichana vya chuo
japo sipendi kuomba hela ya mtu napenda zawadi mwanaume ambae sio romantic simtaki atanipa maswali sanaumeolewa? kama bado basi hongera umebahatika kuonana na mimi
Uamuzi mzuri mkuuwala wanaume hata uwe mwema vipi hawaridhiki mimi naishi maisha yangu mkuu
ni uongo tu wa kutoa laki atoke wapisasa unampa laki kwajili ya nywele? au anaenda kukuza kama rooney?
[emoji53]tupo ambao hata hyo kumi na tano hatuchukui.nywele zangu mwenyewe hela ya saluni atoe mwingine ni akili au matope?
Hiyo nayo ni point, mabinti wa chuo nao ni pasua kichwa, labda awe anasoma education, japo wa education nao wenye mapepe wapo.labda mnadate vishichana vya chuo
Naomba nkuoe mkuuNipo.
Ila sio kwamba napenda, ila ni kwa sababu nataka kuonekana wife material.
Acha kuishi kwa kujitesa mkuu, wewe ukihitaji omba tu.Hongera .
Mimi napenda sana wakati mwingine navunga kama sipendi ila moyoni duuuh
AiseeehHahahahahhh hapana bwana wanawake wale wa kutupiga mizinga ni wametoweka saiz wanawake wengi wapo kimaslahi akiona rafiki yake kanunua nguo nzuri naye anaitaka hapo mzinga unachukua nafasi tena vibinti vya leo ukithubutu tu kumpa hela aliyoomba utaenda kulala hoi utakatikiwa mauno mpk ukome
Maswali kama yapi mkuu ?japo sipendi kuomba hela ya mtu napenda zawadi mwanaume ambae sio romantic simtaki atanipa maswali sana