cross road
Member
- Mar 22, 2013
- 31
- 2
hakuna uchafu mbya kama wa kike
mnaishi uswazi??????Ndege wanaofanan huruka pamoja mie na mwanamme mchafu nkutane nae wapi? Mwanaume anayevaa boxer za marangi ya bluu,kijani,nyeusi,brown,kahawia,nyekundu na rangi zote zinazoficha uchafu ,huyo mchafu kabisa najua nimewagusa hapa na wengine ndio mmeutinga hahahahahhaha jiangalieni nyie wachafu kabisa.kuna mijianaume michafu jamani unaliona linakwenda bafuni na shorts na kachupi kanachungulia juu ,anaoga then anarudi kama alivoenda ameoga amerudia lol.
tunaishi sayari ya dunia hatuishi MARS sisi hata kama unaishi obey wapi wapi lazima uwaone watu kama hao hapa dunianimnaishi uswazi??????
Ila kweli, yani kuna wanawake wana nuka kama mizog hata mita 10 mbele akapita una sikia harufu yake, jiulize kwanini kwenye ma hotel makubwa wapishi ni wanaume? ah ah ah!
lol,hapa hakunaga cha mchaf kama wanawake sa kama mtu hauna uchaf unaenda kuoga nin,kati anayeoga mara kwa mara na ambaye anaoga panapostahl yup mwenye hulka ya kichafchaf hapo wanaume ogen as needed
una matatizo wewe labda hao uliokutana nao ni washamba kama wewe hakuna mwanamke ambaye ajipendi labda awe mvivu na asiyejipenda
acha nikuoneshe na hii ili ubroo mwenyewe
sasa hapa UNASEMA KUWA NI MSHAMBA, Thubuttuuuuuuuuuuu mshamba wewe hapo uliyetoka upcountry hata kuvaa hujui, ukiendelea nitamwambia my husband wangu mentor
ah ah! Basi hata wewe hao wanaume ulio kutana nao ni washamba kama wewe.
Copy: Bishanga
SASA HAPA UTASEMA KUWA WANAWAKE WANAONYONYESHA NI WACHAFU WEE KOMA KM ULIVYOKOMA KATIKA................................ WEWE CHUNGA ULIMI WAKOwewe tangia siku ile unanitafuta sana hebu niache mwana wa mwenzio, tena nasema samahani mm nakutana wanaume handsome kama mume wangu Mentor wewe unamuonaje amesheheni kila idara, na ana mvuto wa ajabu sitaki kuweka picha yake hapa kwani mtanionea wivu hasa wa....d.....d..... simalizii hapa au nikuoneshe uone kuwa nakutana ngoja mcheki mwenyewe jinsi utaimba haleluyaaa wewe View attachment 88103 acha nikuoneshe na hii ili ubroo mwenyewe View attachment 88104sasa hapa UNASEMA KUWA NI MSHAMBA, Thubuttuuuuuuuuuuu mshamba wewe hapo uliyetoka upcountry hata kuvaa hujui, ukiendelea nitamwambia my husband wangu mentor
manoah...😛layball:
Utaoa lini? ah ah ah! yule binti jilani yenu anaendeleaje, maana siku ile mlipendeza sana
jamani muache mume wangu mbona unamsakama hivyo, akikaa na dada zake kosa kwanini lakini? si ungefuata ukamuliza huyo aliyekaa naye ni nani? sipendi kumuingilia mume wangu, wewe nikikuingilia kwa mkeo utakuwaje? mwache laaziz wangu atulie, au unafikiri mm akili itaniruka nianze kumuliza alikuwa na nani? thubutuuu moyo ushapenda hata haungalii makosa ya kijinga kama hayo weeeeeeeeee
ah ah ah! Mentor mwenyewe aliniambia sio dada zake ni mahawa wake, mie sina mke kwaiyo huna pa kwenda kushtaki duh! Kama umewekwa kwa chupa vile unasalitiwa live live