Wakimbieni Wanaume wachafu

Wakimbieni Wanaume wachafu

Nivea wanaume kuwa na boxer zenye rangi tofauti na nyeupe siyo kwamba ni uchafu bali huwa hawana uchaguzi wa rangi kwa nguo za ndani na siyo kweli ukikutana na mume au mpenzi mchafu basi na wewe ni mchafu hakuna aliyemkamilifu MUNGU kaumba watu tofauti kitabia na kimaumbile ili wasaidiane na ukamilifu wao utimie si haki kumkimbia mtu wa namna hii bali kumsaidia hii inafanana na somo katika biblia JE JIRANI YANGU NI NANI? cc@Lady furaha erickc52 njoo upate wosia halafu Bishanga na manoah nawaangalia tu usafi muhimu la sivyo mtaondoka kwa nyumba.
 
Last edited by a moderator:
Nivea wanaume kuwa na boxer zenye rangi tofauti na nyeupe siyo kwamba ni uchafu bali huwa hawana uchaguzi wa rangi kwa nguo za ndani na siyo kweli ukikutana na mume au mpenzi mchafu basi na wewe ni mchafu hakuna aliyemkamilifu MUNGU kaumba watu tofauti kitabia na kimaumbile ili wasaidiane na ukamilifu wao utimie si haki kumkimbia mtu wa namna hii bali kumsaidia hii inafanana na somo katika biblia JE JIRANI YANGU NI NANI? cc@ladyfurahia erickc52 njoo upate wosia halafu Bishanga na manoah nawaangalia tu usafi muhimu la sivyo mtaondoka kwa nyumba.
 
Last edited by a moderator:
una maakili mengi ndio maana dadi hana ubavu
Nivea wanaume kuwa na boxer zenye rangi tofauti na nyeupe siyo kwamba ni uchafu bali huwa hawana uchaguzi wa rangi kwa nguo za ndani na siyo kweli ukikutana na mume au mpenzi mchafu basi na wewe ni mchafu hakuna aliyemkamilifu MUNGU kaumba watu tofauti kitabia na kimaumbile ili wasaidiane na ukamilifu wao utimie si haki kumkimbia mtu wa namna hii bali kumsaidia hii inafanana na somo katika biblia JE JIRANI YANGU NI NANI? cc@Lady furaha erickc52 njoo upate wosia halafu Bishanga na manoah nawaangalia tu usafi muhimu la sivyo mtaondoka kwa nyumba.
 
Last edited by a moderator:
inatakakiwa nikupime ufahamu wako usije okota makopo bure na kuchizika maana lugha yako ina munkeri kabisa
We mwenyewe ukute unanuka halafu hujijui jaribu kujichunguza sio unakazania kusema wanaume kisa bwanako ananuka mikwapa na soksi, tupo wanaume wasafi sana ndugu yangu nahisi una bahati mbaya kukutana na mabeberu
 
Back
Top Bottom