Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,313
- 108,364
Best natafuta mtu wa kunikosha na kunivika, nasikia weye umekolifai kwenye hiyo mambo....pulizzz usintose maana dili hili sitaki limkute Kongosho wala King'asti.
hivi wanaume akili zao zipo kwapani? Mtu mzima anasubiri asafishwe na mkewe? Yeye hana akili za kujua kuwa anapaswa kuwa msafi? Usafi ni hulka ya mtu....hao wake zenu msiwatwishe mizigo isiyo lazima.......... Akiumwa? Akisafiri?
Last edited by a moderator: