Wakimbieni Wanaume wachafu

Hii ya uchafu ni kwa wote..Wanaume hawapendi kuoga na wanawake wanajiachia pia..Utakuta mwanamke anakwenda kazini kavaa nguo za kuogelea .huo ni uchafu.kitu chochote kisipokuwa mahali pake ni uchafu.Nywele sasa za wadada hasa yale mawivingi hazioshwi miezi miwili eti zitafumuka.na ile mimafuta tunapaka inanuka balaa. Tubadilikeni wote
 
Kwa upande wa uchafu kwa wanaume walio oa wanaopaswa kulaumiwa ni wake zao. We mwanamke utamuachaje mumeo aende kazini na nguo chafu au ananuka kikwapa? Ni jukumu la mke kuakikisha mume yupo smart muda wote. Kwa upande wa ma bachelor wajitahid bas kufua hivyo vi boxa vyao mnatia kinyaa mkiwa njiani na hizo kata K zenu kijichupi kipo nje kichafuuu!
 

Dah umeua, eti jamaa anaenda kuoga na boxer then anarudi kaivaa ileile dah umenikumbusha rafiki yangu Kassim
 
Hili umeongelea kwa upande wa wanaume sawa, ila uchafu hata wanawake wengi ni wachafu. Makazini kuna wanawake wanakuja akiongea tu kaka habari yako hiyo harufu ya mdomoni ni kali shinda hata ya mavi, yaani utafikiri mtu ana kimba limemkaa kooni. Tuje kwenye chupi na makwapa sasa....jamani kina dada mnatuhaibisha yaani hata kuwatongoza wakati mwingine mtu unajiuliza mara mbili mbili....Mnapaka perfume lakini kuoga hamuogi, ukienda naye faragha il kuvua chupi tu mtu unamani kutoka mkuku kwa harufu ya hajabu. Kwa kifupi hapa Tanzania tumehalalisha unukaji wa watu, wewe jaribu kuwa in a public place (hospitali, daladala, msibani) yaani watu wanatoa harufu za hajabu na watu wanamezea tu kwani wanaona ni sawa. Yaani mtu unashindw mwambia partner wako kuwa mwenzangu unanuka?
 
Suala la uchafu ni hulka ya mtu, ndivyo alivyolelewa, hata ukienda nyumbani kwake utakuta kuku wa kienyeji wamenyea sakafu yote na hakuna pavers na mtu huyo ana ghorofa. Mimi naamini mwanamke anaweza kumbadili mwanaume kwa kiasi kikubwa mfano unatafuna chakula mpaka watu wengine wanasikia, unasuuza mdomo restarant, kwapas, nyayos........
 
hili nalo neno....usiombe kukaa kwenye mkutano jirani na mwanaume anayenuka mapumbuu au makwapa.... Usipotapika kichwa kitakuuma siku tatu......shurti kunuka uvundo.....
 


daaaah wanawake wana kazi jamani loh
 


hivi wanaume akili zao zipo kwapani? Mtu mzima anasubiri asafishwe na mkewe? Yeye hana akili za kujua kuwa anapaswa kuwa msafi? Usafi ni hulka ya mtu....hao wake zenu msiwatwishe mizigo isiyo lazima.......... Akiumwa? Akisafiri?
 
wewe unamsema mume wa mwl na nanii wa humu mmu
 


leo tunaongelea vidume bana loh
 
huo uchafu wote ako nao bwana wake si bure, ungemwambia kiutaratibi sio maswala ya kumuanika tujue matatzo yenu
 

Bwa ha ha ha!! wanawake kazi ipo, mweeh!!

usafi ni jukumu lako mwenyewe kama binadamu iwe umeoa au hujaoa.
 
hili nalo neno....usiombe kukaa kwenye mkutano jirani na mwanaume anayenuka mapumbuu au makwapa.... Usipotapika kichwa kitakuuma siku tatu......shurti kunuka uvundo.....

Hahahaaaa....!!
 
Nyam baafu, umeongea tu nakuona tuuuu! nyie hivyo vidonda mlivyopigwa shoka na maulana mbona vinatoa harufu chafu mpaka makoage ndiyo angalau kinavutia, wanaume biolojikally hatuna harufu mbaya labda wachache waliorith harufu ya ubeberu wa wazazi wao nao nougonjwa basi!
 
Mimi juzijuzi hapa nilimchalaza demu mmoja wa kzungu vilivyo, lakini kabla ya hapo wakati namvua nguo nilianza kusikia harufu, nikamwambia nenda ka-douche msalani, na plastic-ware ya kujisafisha nikampa. Alipomaliza, ilikuwa afadhali kidogo, lakini bado alikuwa ananuka kwa standards zangu kweli. Baada ya demu kunipa bj ya kufa mtu Mzee mzima sikumaind tena harufu, ikabidi niogelee kwa kwenda mbele, au siyo?
 
hata kama mwanaume ni mchafu lakini akiwa na ela

utamsikia mwanamke anasema ''naipenda sana harufuyako babewangu''
 
hata kama mwanaume ni mchafu lakini akiwa na ela

utamsikia mwanamke anasema ''naipenda sana harufuyako babewangu''

Teh teh teh ht km ana sura km mnyoo!......Ingawa usaf muhimu jaman,co ukivua viatu mmbu wanakufa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…