Wakili Wasonga: Nitarudi tena mahakamani kupinga matokeo yaliyompa ushindi Tundu Lissu

Huyu wakili-kujipendekeza nae pia amepiga kura leo? Km kweli wewe wakili unatumika jitfakari sana km uwakili wako unafaa wewe utumike, je ,unajisikia vipi kutumika ? Je unakubali kutumika ili siku moja upate cheo fulan? Je hauon km una upungufu wa u wakili mpk utumike? MWISHO. JE, HAUONI KUWA WATEJA WENGI WATAKUOGOPA KUKUPA KAZI WAKIKUONA KUWA HAUMINIKI? TAFAKARI KWA KINA SANA JUU HATIMA YAKO YA UAMINIFU KTK TAALUMA YAKO.
 
Wakili Wasonga aliyeomba uchaguzi wa TLS usogezwe mbele amesema ataenda tena mahakani lkn wakati huu akienda kupinga matokeo ambayo yamempitisha Tundu Lissu kuwa rais wa TLS, hayo aliyasema baada ya mahojiano na mwandishi wa gazeti la Majira.

"yes,ninabuild up kesi ,kila mtu alishuhudia utaratibu ulivyokiukwa, hujuma zilivyodhofisha uchaguzi, unafikiri nisipoenda mahakamani mimi wakili nani ataenda?

-----
Swali: Huyu jamaa ana matatizo gani,hivi huyu na yeye ni wakili msomi?
Wakili Wasonga si yeye anayekwenda mahakamani kwa matakwa yake bali yeye anatangulizwa mbele kama deki remote iko nyuma.
 
...anatafuta ujaji huyu...na sitashangaa akiupata...maana vihiyo hawa hupendwa na watawala... Kwa kutetea upuuzi....
 
Sina hakika na kinachozungumzwa hapa nimeona moja ya post zake fb akimpongeza Lissu pia akimtakia mafanikio mema katika uongozi mpya.... Sasa kama atakuwa anaongea vitu viwili tofaut kwa wakati mmoja hapo ipo shida............
 
Wakili Wasonga aliyeomba uchaguzi wa TLS usogezwe mbele amesema ataenda tena mahakani lkn wakati huu akienda kupinga matokeo ambayo yamempitisha Tundu Lissu kuwa rais wa TLS, hayo aliyasema baada ya mahojiano na mwandishi wa gazeti la Majira.

"yes,ninabuild up kesi ,kila mtu alishuhudia utaratibu ulivyokiukwa, hujuma zilivyodhofisha uchaguzi, unafikiri nisipoenda mahakamani mimi wakili nani ataenda?

-----
Swali: Huyu jamaa ana matatizo gani,hivi huyu na yeye ni wakili msomi?

Mawakili tunatakiwa kugomea huu ujinga,na tuhakikishe tunagomea kwenda kwenye pub yake pale dodoma.
 
57dcb7ff821895bdb3ee322483e5da9a.jpg
 
Hana Pub siku hizi, hata chamber yao ambayo yupo partner na kina Dr. Posi inachechemea vibaya. Wateja wengi wamekimbia. Anatafuta huruma za chama, pia hata wenzake wameshamchoka
 
Jibu: Ndiyo ni Wakili Msomi kwa sababu kahitimu vema, ila kashindwa tu kudhibiti hisia za tumbo lake zisimuendeshe. Ametumwa kufanikisha hayo.
Ni kweli ni mchumia tumbo, ashindwe kwa majina yote yanayo mwakilisha Mungu Duniani
 
Wakili Wasonga aliyeomba uchaguzi wa TLS usogezwe mbele amesema ataenda tena mahakani lkn wakati huu akienda kupinga matokeo ambayo yamempitisha Tundu Lissu kuwa rais wa TLS, hayo aliyasema baada ya mahojiano na mwandishi wa gazeti la Majira.

"yes,ninabuild up kesi ,kila mtu alishuhudia utaratibu ulivyokiukwa, hujuma zilivyodhofisha uchaguzi, unafikiri nisipoenda mahakamani mimi wakili nani ataenda?

-----
Swali: Huyu jamaa ana matatizo gani,hivi huyu na yeye ni wakili msomi?

Sawa aende tu... Kama anaifungulia TLS kesi basi ajipime kama anaweza kusimama na hiki kiumbe kinaitwa Tundu... Asije poteza wateja wake....!
 
Back
Top Bottom