Wakili Wasonga: Nitarudi tena mahakamani kupinga matokeo yaliyompa ushindi Tundu Lissu

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,482
20,424
Wakili Wasonga aliyeomba uchaguzi wa TLS usogezwe mbele amesema ataenda tena mahakani lkn wakati huu akienda kupinga matokeo ambayo yamempitisha Tundu Lissu kuwa rais wa TLS, hayo aliyasema baada ya mahojiano na mwandishi wa gazeti la Majira.

"yes,ninabuild up kesi ,kila mtu alishuhudia utaratibu ulivyokiukwa, hujuma zilivyodhofisha uchaguzi, unafikiri nisipoenda mahakamani mimi wakili nani ataenda?

-----
Swali: Huyu jamaa ana matatizo gani,hivi huyu na yeye ni wakili msomi?
 
Wakili Wasonga aliyeomba uchaguzi wa TLS usogezwe mbele amesema ataenda tena mahakani lkn wakati huu akienda kupinga matokeo ambayo yamempitisha Tundu Lissu kuwa rais wa TLS, hayo aliyasema baada ya mahojiano na mwandishi wa gazeti la Majira.
"yes,ninabuild up kesi ,kila mtu alishuhudia utaratibu ulivyokiukwa, hujuma zilivyodhofisha uchaguzi, unafikiri nisipoenda mahakamani mimi wakili nani ataenda? "
Swali :Huyu jamaa ana matatizo gani,hivi huyu na yeye ni wakili msomi?
Hapana, huyu si Wakili Msomi bali ni "wakili mgonjwa"
 
Wakili Wasonga aliyeomba uchaguzi wa TLS usogezwe mbele amesema ataenda tena mahakani lkn wakati huu akienda kupinga matokeo ambayo yamempitisha Tundu Lissu kuwa rais wa TLS, hayo aliyasema baada ya mahojiano na mwandishi wa gazeti la Majira.
"yes,ninabuild up kesi ,kila mtu alishuhudia utaratibu ulivyokiukwa, hujuma zilivyodhofisha uchaguzi, unafikiri nisipoenda mahakamani mimi wakili nani ataenda? "
Swali :Huyu jamaa ana matatizo gani,hivi huyu na yeye ni wakili msomi?

Jamani hivi leo Jmosi maabara ya mkemia mkuu wa serikali inafanya kazi..?

kwani kuna nini...??
nina mgonjwa mwenye "emergence case" ya kupimwa kiwango cha arosto
aliyonayo kichwani....

mgonjwa huyo ni nani....???

Mbona ushamjua tayari....???

Nitajie Jina lake nimjue...

Anaitwa......nadhani ushamjua bana.

yaaani kwa jinsi uchaguzi ulivyokuwa huru na wazi namna ile bado mtu anaenda mahakamani kupinga,??
aisee aliyeturoga ashajifia kitambo.
 
Wakili Wasonga aliyeomba uchaguzi wa TLS usogezwe mbele amesema ataenda tena mahakani lkn wakati huu akienda kupinga matokeo ambayo yamempitisha Tundu Lissu kuwa rais wa TLS, hayo aliyasema baada ya mahojiano na mwandishi wa gazeti la Majira.
"yes,ninabuild up kesi ,kila mtu alishuhudia utaratibu ulivyokiukwa, hujuma zilivyodhofisha uchaguzi, unafikiri nisipoenda mahakamani mimi wakili nani ataenda? "
Swali :Huyu jamaa ana matatizo gani,hivi huyu na yeye ni wakili msomi?
Huyo ni sawa na Bashite
 
Wakili Wasonga aliyeomba uchaguzi wa TLS usogezwe mbele amesema ataenda tena mahakani lkn wakati huu akienda kupinga matokeo ambayo yamempitisha Tundu Lissu kuwa rais wa TLS, hayo aliyasema baada ya mahojiano na mwandishi wa gazeti la Majira.
"yes,ninabuild up kesi ,kila mtu alishuhudia utaratibu ulivyokiukwa, hujuma zilivyodhofisha uchaguzi, unafikiri nisipoenda mahakamani mimi wakili nani ataenda? "
Swali :Huyu jamaa ana matatizo gani,hivi huyu na yeye ni wakili msomi?
Some people have run out of ideas
 
Wakili Wasonga aliyeomba uchaguzi wa TLS usogezwe mbele amesema ataenda tena mahakani lkn wakati huu akienda kupinga matokeo ambayo yamempitisha Tundu Lissu kuwa rais wa TLS, hayo aliyasema baada ya mahojiano na mwandishi wa gazeti la Majira.
"yes,ninabuild up kesi ,kila mtu alishuhudia utaratibu ulivyokiukwa, hujuma zilivyodhofisha uchaguzi, unafikiri nisipoenda mahakamani mimi wakili nani ataenda? "
Swali :Huyu jamaa ana matatizo gani,hivi huyu na yeye ni wakili msomi?

Ubashitetism.
 
Wakili Wasonga aliyeomba uchaguzi wa TLS usogezwe mbele amesema ataenda tena mahakani lkn wakati huu akienda kupinga matokeo ambayo yamempitisha Tundu Lissu kuwa rais wa TLS, hayo aliyasema baada ya mahojiano na mwandishi wa gazeti la Majira.
"yes,ninabuild up kesi ,kila mtu alishuhudia utaratibu ulivyokiukwa, hujuma zilivyodhofisha uchaguzi, unafikiri nisipoenda mahakamani mimi wakili nani ataenda? "
Swali :Huyu jamaa ana matatizo gani,hivi huyu na yeye ni wakili msomi?
Labda uende mahakama za Kenya hapa no
 
Wakili Wasonga aliyeomba uchaguzi wa TLS usogezwe mbele amesema ataenda tena mahakani lkn wakati huu akienda kupinga matokeo ambayo yamempitisha Tundu Lissu kuwa rais wa TLS, hayo aliyasema baada ya mahojiano na mwandishi wa gazeti la Majira.
"yes,ninabuild up kesi ,kila mtu alishuhudia utaratibu ulivyokiukwa, hujuma zilivyodhofisha uchaguzi, unafikiri nisipoenda mahakamani mimi wakili nani ataenda? "
Swali :Huyu jamaa ana matatizo gani,hivi huyu na yeye ni wakili msomi?
Jikoni hapajawaka moto mpaka aonyeshe juhudi..huwezi kupewa mboga hivihivi tu..angalau mambo yakipoa aende kwenye theluji akajipongeze kama dk.
 
Wakili Wasonga aliyeomba uchaguzi wa TLS usogezwe mbele amesema ataenda tena mahakani lkn wakati huu akienda kupinga matokeo ambayo yamempitisha Tundu Lissu kuwa rais wa TLS, hayo aliyasema baada ya mahojiano na mwandishi wa gazeti la Majira.
"yes,ninabuild up kesi ,kila mtu alishuhudia utaratibu ulivyokiukwa, hujuma zilivyodhofisha uchaguzi, unafikiri nisipoenda mahakamani mimi wakili nani ataenda? "
Swali :Huyu jamaa ana matatizo gani,hivi huyu na yeye ni wakili msomi?
Acha kuharibu sifa za wajaluo,unataka kufanya wajaluo waonekane kama wasukuma.wajaluo ni wasomi bana.Wasonga acha figisu ukishashindwa tembea mbele kaubiri vita vya sadam kua Rais wa Quwait.
 
Back
Top Bottom