sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 4,173
- 7,260
Nikishaapishwa, pale uwanja wa Taifa, nikisaini kwa wino mwekundu😃😃Huyu analeta comedy kwenye siasa za ACT Wazalendo kama mzee wa Ubwabwa wa Chauma
Nikishaapishwa, pale uwanja wa Taifa, nikisaini kwa wino mwekundu😃😃Huyu analeta comedy kwenye siasa za ACT Wazalendo kama mzee wa Ubwabwa wa Chauma
Ana dalili za upindeWakili Peter Madeleka akizungumza na Wananchi Jimbo laTemeke, amesema ACT Wazalendo Wakiingia madarakani watahakikisha Polisi wanaostaafu wanaondolewa kikokotoo ikiwa ni sababu ya umasikini amesema pia Polisi wakilinda Kura kila Askari atamiliki Ghorofa na gari Land Cruiser
Profesa JWakili Peter Madeleka akizungumza na Wananchi Jimbo laTemeke, amesema ACT Wazalendo Wakiingia madarakani watahakikisha Polisi wanaostaafu wanaondolewa kikokotoo ikiwa ni sababu ya umasikini amesema pia Polisi wakilinda Kura kila Askari atamiliki Ghorofa na gari Land Cruiser
Huuyu naye amepwaya kichwaniWakili Peter Madeleka akizungumza na Wananchi Jimbo laTemeke, amesema ACT Wazalendo Wakiingia madarakani watahakikisha Polisi wanaostaafu wanaondolewa kikokotoo ikiwa ni sababu ya umasikini amesema pia Polisi wakilinda Kura kila Askari atamiliki Ghorofa na gari Land Cruiser
Hii ahadi inanikumbusha ule wimbo wa Prof Jay na Babu Ayubu. Aseme kabisa kama mabomba yatatoa maziwa.Wakili Peter Madeleka akizungumza na Wananchi Jimbo laTemeke, amesema ACT Wazalendo Wakiingia madarakani watahakikisha Polisi wanaostaafu wanaondolewa kikokotoo ikiwa ni sababu ya umasikini amesema pia Polisi wakilinda Kura kila Askari atamiliki Ghorofa na gari Land Cruiser
Jamaa ana ahadi za kisenge sana kama zile za kwenye maigizoWakili Peter Madeleka akizungumza na Wananchi Jimbo laTemeke, amesema ACT Wazalendo Wakiingia madarakani watahakikisha Polisi wanaostaafu wanaondolewa kikokotoo ikiwa ni sababu ya umasikini amesema pia Polisi wakilinda Kura kila Askari atamiliki Ghorofa na gari Land Cruiser
kweli,si unaona sasa,eti msomi wakili aibu.Kamwe huwezi kuigiza usmart muda wote, utajisahau tu.
Leo nilimsikiliza pale Kisutu, sio kanjanja ni wakili yupo very eloquent, ila mbishi pia.Huyu jamaa anaonekana ni wakili kanjanja, ujuaji mwingi mbele giza.
SawaLeo nilimsikiliza pale Kisutu, sio kanjanja ni wakili yupo very eloquent, ila mbishi pia.
daaah hii dunia mataahira hawataisha!Wakili Peter Madeleka akizungumza na Wananchi Jimbo laTemeke, amesema ACT Wazalendo Wakiingia madarakani watahakikisha Polisi wanaostaafu wanaondolewa kikokotoo ikiwa ni sababu ya umasikini amesema pia Polisi wakilinda Kura kila Askari atamiliki Ghorofa na gari Land Cruiser
hapo anatafuta kura za askari polisi sio?Wakili Peter Madeleka akizungumza na Wananchi Jimbo laTemeke, amesema ACT Wazalendo Wakiingia madarakani watahakikisha Polisi wanaostaafu wanaondolewa kikokotoo ikiwa ni sababu ya umasikini amesema pia Polisi wakilinda Kura kila Askari atamiliki Ghorofa na gari Land Cruiser
Hii sera ya ubwabwa iliyochangamka...🤓🤓🤓🤓Wakili Peter Madeleka akizungumza na Wananchi Jimbo laTemeke, amesema ACT Wazalendo Wakiingia madarakani watahakikisha Polisi wanaostaafu wanaondolewa kikokotoo ikiwa ni sababu ya umasikini amesema pia Polisi wakilinda Kura kila Askari atamiliki Ghorofa na gari Land Cruiser