Mbona wa kawaida tu huyu?? Atawashinda hao wa serekali kwa sababu ni wavivu kujitafutia points hata za kesi iliyo mbele yao. Wao huenda kama wajibu wao lakini huyu huenda kama kazi yake.
Wakili mzuri ni yule ajisomeae hata zaidi ya anachokitafutia points. Anaangalia makesi ya zamani na kuchunguza yalivyoamuliwa. Huyo wa serekali afanye hivyo ili iweje? Huku mmemtwika zigo ghafula bila kujipanga uweze kumzushia mtu shitaka na likae!! Haiwezekani.
Wakili mzuri ni yule ajisomeae hata zaidi ya anachokitafutia points. Anaangalia makesi ya zamani na kuchunguza yalivyoamuliwa. Huyo wa serekali afanye hivyo ili iweje? Huku mmemtwika zigo ghafula bila kujipanga uweze kumzushia mtu shitaka na likae!! Haiwezekani.