Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Habari za kuaminika nilizo zipata toka Arusha Kuwa Adv. Mwale kalazwa Mt.Meru baaada ya kupata maumivu kwenye chumba cha mateso walikuwa wakitaka kujua hizo Billion ni za wateje gani, Na mpaka hivi sasa Adv.Mwale kashikilia msimamo huo huo kuwa ni pesa za mteja wake ila hajamtaja ni nani na zilikuja kwa ajili gani.
Watu wa Arusha walio karibu na Mt.Meru Hospital watupe zaidi details
Habari za kuaminika nilizo zipata toka Arusha Kuwa Adv. Mwale kalazwa Mt.Meru baaada ya kupata maumivu kwenye chumba cha mateso walikuwa wakitaka kujua hizo Billion ni za wateje gani, Na mpaka hivi sasa Adv.Mwale kashikilia msimamo huo huo kuwa ni pesa za mteja wake ila hajamtaja ni nani na zilikuja kwa ajili gani.
Watu wa Arusha walio karibu na Mt.Meru Hospital watupe zaidi details