Mkwaju Ngedere
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 1,046
- 872
Ukuta wa china ulijengwa maelfu ya miaka iliyopita.ukuta hauwezi zuia wizi karne hii ambayo kuna drones zenye uwezo wa kubeba hadi mzigo wa kilo tano.
SAWA KASUKU HANA UWEZO WA KUKAMATA MWIZI LAKINI MTU ANAMFUGA NA KUMUWEKA SEHEMU AMBAYO MGENI AKIINGIA KASUKU ATAPIGA KELELE NA ITAKUWA NI ISHARA KWA MWENYE NYUMBA.UKUTA SIO LAZIMA UZUIE WIZI KWA ASILIMIA 100 ISIPOKUWA ANGALAU KWA KIWANGO FULANI WIZI ATAPUNGUA !!