Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kama kupambana na wizi Wa rasilimali ni kuzungusha ukuta! Nadhani wamshauri azungushe nchi nzima tu
Sio wanaccm wenuWanasheria wetu walituangusha sana kwenye mikataba ya madini
Ndiyo mkaona suluhisho ni kuzungusha ukuta?Wanasheria wetu walituangusha sana kwenye mikataba ya madini
nadhani anamaanisha kuwe na geti moja tuu ambalo litakuwa rasmi kwa madini kupitia katika utokaji wake,japo hapa atakuwa amedhibiti madini kuto kutoka kihalali ila sio mikataba na nkhata mimi sijaelewa mantiki labda kwasababu sijawahi kuwa mchimbaji wa madini hayo eneo hilo, wazoefu hebu tuelewesheni inawezekana serikali ina mantiki lakin wananchi hatujaelewa tu, mkitufahamisha tutaelewa. kwa ule ukuta, hivi mimi nina gemstone ya Tanzanite mkononi siwezi kuuruka kweli ule na nisikamatwe? yaani madini yaani,
Wanasheria wa ccmWanasheria wetu walituangusha sana kwenye mikataba ya madini...huyu ni mwanasheria ambaye siutambui mchango wake kwenye sekta ya madini halafu anabeza UKUTA?
Kama china walijenga ukuta why not us?
Khaaa hii kali mkuuMimi nina suggest Kila tembo Na faru wazungushiwe ukuta
Wamarekani wanajuta kumjua Trump.
Kama kupambana na wizi Wa rasilimali ni kuzungusha ukuta! Nadhani wamshauri azungushe nchi nzima tu
View attachment 737126
Kama kupambana na wizi Wa rasilimali ni kuzungusha ukuta! Nadhani wamshauri azungushe nchi nzima tu
View attachment 737126
Kwa nini usiende ukajaribu kuuruka ule ukuta iliuone hali gani itatokea..kuna ulazima gani wa kutuuliza sisi unatupotezea muda wetu bure..sidhani kama kuna mtu hapa jamvini ameshawahi fanya tendo la wizi kama ambalo unalotaka kulijaribu..nenda kule kajaribu usituilize maswali ya kitotohata mimi sijaelewa mantiki labda kwasababu sijawahi kuwa mchimbaji wa madini hayo eneo hilo, wazoefu hebu tuelewesheni inawezekana serikali ina mantiki lakin wananchi hatujaelewa tu, mkitufahamisha tutaelewa. kwa ule ukuta, hivi mimi nina gemstone ya Tanzanite mkononi siwezi kuuruka kweli ule na nisikamatwe? yaani madini yaani,
kwahiyo maumivu ccm waliyotuletea zaidi ya miaka 50 nikuweka ukuta?Wanasheria wetu walituangusha sana kwenye mikataba ya madini...huyu ni mwanasheria ambaye siutambui mchango wake kwenye sekta ya madini halafu anabeza UKUTA?
Kama china walijenga ukuta why not us?
Watanzania Mungu ametuona kwa kutuletea mkombozi dhidi ya makabaila, mafisadi na mabeberu yaliyokuwa yakiitafuna nchi..hivi hili swali umeuliza kwa kutumia akili yako au umeamrishwa na fisadi uulizeWamarekani wanajuta kumjua Trump.
Watanzania je?
wewe wajua!Watanzania Mungu ametuona kwa kutuletea mkombozi dhidi ya makabaila, mafisadi na mabeberu yaliyokuwa yakiitafuna nchi..hivi hili swali umeuliza kwa kutumia akili yako au umeamrishwa na fisadi uulize
wewe unajua wakili wa chadema ni nani au ndio umetoka kupiga mihayo hapa lumumbaUkuta umekwisha jengwa, Mengine ni mazungumzo baada ya habari.
Huyu wakili wa Chadema toka aanze kazi ya uwakili ameshinda kesi ngapi?