Kama malengo yake yalikuwa wakati wa kudai uhuru naona kwa sasa ndo muda mwafaka, maana nchi imerudi mikononi mwa mkoloni ila tofauti yake huyu ni mkoloni mweusi!Mi sio mwanasheria ila inabidi niende deep kidogo kuangalia chimbuko la TLS wakati ule na nilinganishe na mazingira halusi ya sasa nibaini kama bado malengo yake ya kuanzishwa kwake ndio yakeyale kwa nyakati hizi ama yamebadilika na kujikuta hayana mwelekeo.
Zamani wakoloni na sasa nchi huru. Walishafanya ammendments zozote?
"Furasitireisheni" in some one's voiceHawez kosa matatizo. Sio Fatuma tu huwa anaita wanawake wenye mafanikio hivyo.
Badala awaige naye afanikiwe ana kazi wa kuwatusi tu.
Ila ndio kina mama wa ccm hao
Msameheni. itakuwa ni hasira ya kushindwa. Na kibaya zaidi kashindwa na mwanamama.Jitafakari tena ! For a sensible man this tells a great msg to uchaguzi huru na wa haku (free and fair election) on your part. This is a true reflection of wishes of "Tanzaians"..... Ungelisimamiwa na Ramadhani Kailima na Aron Kagurumujuri unadhani matokeo yangelikuwaje?
Kama sijakosea 60.000alipata ngapi Dovutwa urais?
WASONGA Nani asiyejua, bali ni yeye mwenyewe ndiye hajitambui. Siku ile ya sheria alipopata nafasi ya kuongea aliongea pumba tupu na wala hakumtaja Rais wake Lissu!!Umepata kura 6 tu! Jitafakari! Make a self assessment!
MATOKEO
1. Ms. Fatma Karume - Kura 820
2. Mr. Godwin Ngwilimi - Kura 363
3. Mr. Godwin Mwapongo - Kura 12
4. Mr. Godfrey Wasonga - Kura 06
Kwanini ajitafakari?!?Umepata kura 6 tu! Jitafakari! Make a self assessment!
MATOKEO
1. Ms. Fatma Karume - Kura 820
2. Mr. Godwin Ngwilimi - Kura 363
3. Mr. Godwin Mwapongo - Kura 12
4. Mr. Godfrey Wasonga - Kura 06
Asilimia zaidi ya 90 ya watanzania ni wajinga..i mean hawana uelewa na wala hawana ctitique minds..ndio maana uchaguzi wa TLS sio reflection ya hali halisi...CCM inachaguliwa na wajingaQuick observation, zinaonyesha jamii inahamasika sana kwenye chaguzi yeyote au malumbano yeyote ambayo mtu anayeonekana vocal against government anashiriki, na waliowengi hufurahi akishinda dhidi ya perceived resistance kutoka serikalini. Hii ni dalili kwamba waliowengi wanapinga serikali ila hawana wa kuwasemea na ni dalili kwamba serikali inaminya uhuru wa Wananchi wake. Kama ningekuwa nashauri serikali ningewaambiwa waanze kujitathmini na kuchukua corrective measure, ukiondoa ushabiki wa kisiasa na ukifuata kanuni ya sayansi ya jamii, this is not health for our nation.
Ni kweli hapa Dodoma Wasonga keshadharaulikaHuyu wasonga ni zero kabisa, dodoma hapi kashazaraulika sana lakini bado yumo....
Kumbe ni mwanamke uyoDuuh povu lote wanawake mnaoneana wivu sana mwenzio kasoma huyo na professional yake...
Pia unaweza kusema hana tofauti na Mutamwega Mugahiwa BhattiUnataka kusema, hana tofauti na dovutwa?
Umenena ukweli usiokuwa na Shaka hata kidogo. Kugombea Tundu Lisu, TLS ilijulikana Tanzania nzima. Hata wanasheria wenyewe sasa wanaona chombo chao kina hadhi na ndiyo maana hata contestants wamekuwa na ushabiki mkubwa toka kwenye jamii yetu ya WatanzaniaToka Tundu Lissu agombee urais TLS kila mtu anafatilia chama hiki,mwanzo waliokuwa wanafatilia Na kukijua chama cha mawakili walikuwa mawakili wenyewe na watanzania wachache ,lakini Leo hii hata kijini TLS inafahamika.kuna watu wanakubalika nchini
Halafu akishafanya self assessment ajiue?Umepata kura 6 tu! Jitafakari! Make a self assessment!
Hiyo observation yako ni feki,miaka yote tumeshuhudia chaguzi za TLS.Daruso na kwenye taasisi zinazofanana nazo zikiwa na mvuto kama hiviQuick observation, zinaonyesha jamii inahamasika sana kwenye chaguzi yeyote
Tungesikia bits za kale kawimbo nyakanyaka bonus. Nyaka twitter, nyaka whatsap, yaani unanyaka kila kitu!For a sensible man this tells a great msg to uchaguzi huru na wa haku (free and fair election) on your part. This is a true reflection of wishes of "Tanzaians"..... Ungelisimamiwa na Ramadhani Kailima na Aron Kagurumujuri unadhani matokeo yangelikuwaje?
Quick observation, zinaonyesha jamii inahamasika sana kwenye chaguzi yeyote au malumbano yeyote ambayo mtu anayeonekana vocal against government anashiriki, na waliowengi hufurahi akishinda dhidi ya perceived resistance kutoka serikalini. Hii ni dalili kwamba waliowengi wanapinga serikali ila hawana wa kuwasemea na ni dalili kwamba serikali inaminya uhuru wa Wananchi wake. Kama ningekuwa nashauri serikali ningewaambiwa waanze kujitathmini na kuchukua corrective measure, ukiondoa ushabiki wa kisiasa na ukifuata kanuni ya sayansi ya jamii, this is not health for our nation.