Kweli hatuna mawakili Tanzania bali tuna wachumia tumbo, mnamchaguaje mtu ambaye hawezi hata kujenga hoja???? Yaani mihemuko ndiyo mnadhani itawapeleka huko mnakodhani??? Shame on hawa mawakili.Umepata kura 6 tu! Jitafakari! Make a self assessment!
MATOKEO
1. Ms. Fatma Karume - Kura 820
2. Mr. Godwin Ngwilimi - Kura 363
3. Mr. Godwin Mwapongo - Kura 12
4. Mr. Godfrey Wasonga - Kura 06
Duuh povu lote wanawake mnaoneana wivu sana mwenzio kasoma huyo na professional yake...Kweli hatuna mawakili Tanzania bali tuna wachumia tumbo, mnamchaguaje mtu ambaye hawezi hata kujenga hoja???? Yaani mihemuko ndiyo mnadhani itawapeleka huko mnakodhani??? Shame on hawa mawakili.
For a sensible man this tells a great msg to uchaguzi huru na wa haku (free and fair election) on your part. This is a true reflection of wishes of "Tanzaians"..... Ungelisimamiwa na Ramadhani Kailima na Aron Kagurumujuri unadhani matokeo yangelikuwaje?Kweli hatuna mawakili Tanzania bali tuna wachumia tumbo, mnamchaguaje mtu ambaye hawezi hata kujenga hoja???? Yaani mihemuko ndiyo mnadhani itawapeleka huko mnakodhani??? Shame on hawa mawakili.
Walishatofautiana na Lissu muda mrefu sanaUmepata kura 6 tu! Jitafakari! Make a self assessment!
MATOKEO
1. Ms. Fatma Karume - Kura 820
2. Mr. Godwin Ngwilimi - Kura 363
3. Mr. Godwin Mwapongo - Kura 12
4. Mr. Godfrey Wasonga - Kura 06
Bado natafakari chanzo cha wanawake kuchukiana kiasi hikiKweli hatuna mawakili Tanzania bali tuna wachumia tumbo, mnamchaguaje mtu ambaye hawezi hata kujenga hoja???? Yaani mihemuko ndiyo mnadhani itawapeleka huko mnakodhani??? Shame on hawa mawakili.
Nani na nani, Wasonga orWalishatofautiana na Lissu muda mrefu sana
Wasonga , YesNani na nani, Wasonga or
Hongera Fatma karume. Hilo ni pigo kwa wale WACHWARA.Umepata kura 6 tu! Jitafakari! Make a self assessment!
MATOKEO
1. Ms. Fatma Karume - Kura 820
2. Mr. Godwin Ngwilimi - Kura 363
3. Mr. Godwin Mwapongo - Kura 12
4. Mr. Godfrey Wasonga - Kura 06
Picha ninayoipata ni kuwa "watu" na sio wanasheria tu, hawaipendi CCM maana Wasonga ni CCM.. akina Jerry Muro &Co.Ltd!Wasonga , Yes
Hahaahaha.....wachwara indeed.Hongera Fatma karume. Hilo ni pigo kwa wale WACHWARA.
Best Idea. Lakini Bwana Yule hashauriki, Labda maombi yanatafanikiwa.Quick observation, zinaonyesha jamii inahamasika sana kwenye chaguzi yeyote au malumbano yeyote ambayo mtu anayeonekana vocal against government anashiriki, na waliowengi hufurahi akishinda dhidi ya perceived resistance kutoka serikalini. Hii ni dalili kwamba waliowengi wanapinga serikali ila hawana wa kuwasemea na ni dalili kwamba serikali inaminya uhuru wa Wananchi wake. Kama ningekuwa nashauri serikali ningewaambiwa waanze kujitathmini na kuchukua corrective measure, ukiondoa ushabiki wa kisiasa na ukifuata kanuni ya sayansi ya jamii, this is not health for our nation.
Naunga hoja, lugha aliyotumia sio ya Great Thinkers! Ni shutuma za kijinsia na haifai kuvumiliwa hata chembe. Kumwondoa kwenye kundi hili ni ishara ya kuheshimu utu wa ubinadamu wetu. Mwondoe mwondoe!Viongozi wa jf tafadhari mfungieni huyu mtu kwa matusi anayotoa