Wakili Fatma Karume kuhusu kilichojiri polisi dhidi ya Lissu

Hivi hao Wazungu mnojifanya hamna ushirika nao na mnawatukana,si ndio wanaofadhili mfuko wa "Benjamin Mkapa Foundation" na juzi huko Chato walizindua nyumba za wahudumu wa afya?

Si ndio hao mmewaomba toka Instanbul wawajengee reli ya SG toka Dsm mpaka Moro,mkawakopa hadharani kwenye TV huku mkionekana?Ndio hao nyie mnawaita "Washirika wa Maendeleo" ili kupoza maana ya neno "Wafadhili?"

Hao ndio wanachangia 60% ya bajeti ya viwanda ya 2017/2018...Kama mmethibitisha "anatumika" na wazungu,kwanini msimshtaki haraka iwezekanavyo!?


Mwenzenu kila sentensi anayotamka anajua ina madhara gani kisheria.Mtaishia kumuweka mahabusu kwa amri kutoka juu,lakini hamuwezi kumfunga kwa kutumia vifungu vya sheria.

Mnampa umaarufu wa bure...Mpaka mtaani watoto wakiwa wanashindana kwenye michezo,mmoja akisema "Mi Magufuli" mwingine anasema "Mimi Tundu Lissu"...Aliyesema Magufuli,anasema basi mi sichezi.
Nadhani ni ule msemo wa waswahili kuwa "Baniani mbaya lakini kiatu chake dawa".
 
I cosign to her sentiments.

Tundu Lissu is unhinged.

They should just let him be because most folks can see right through the BS he spews.

No need to waste resources on a deranged individual who doesn't pose any kind of a serious threat.
To our Tanzanian government , he seems to be one of the serious threat that needs to be eliminated ASAP.

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
 
Per Fatma Karume, Advocate;

I went to represent Tundu Lissu at Central Police Station this evening. He was charged for soliciting/incitement contrary to section 390 of the Penal Code. I asked who the police think he solicited/incited and what crime Tundu incited this person to commit. The answer I received was "Bado tunachunguza!"

I asked the police to grant him bail. They refused to do so on the ground that "Watu wa juu ndiyo watoamua!" So a member of Parliament and President of the Law Society is spending a night in police custody for allegedly soliciting/inciting an unknown person to commit an unknown crime all of which the police are still investigating.

This is an unacceptable abuse of police powers of arrest that should be condemned by all right thinking Tanzanians!

=====

Nimekwenda kumwakilisha mteja wangu Tundu Lissu Kituo Kikuu cha Polisi “Dar Es Salaam Central Police” jioni ya leo (jana Alhamisi). Anashikiliwa kwa makosa ya uchochezi kinyume na kifungu cha 390 cha Sheria ya Kanuni za Adhabu (Penal Code). Nimewauliza Polisi wanadhani Tundulissu amemchochea nani na ni kosa gani la jinai ambalo mtu huyo aliyechochewa amelitenda. Jibu nililopokea ni “Bado Tunachunguza!”

Nimewataka Polisi wampe dhamana, wamekataa kufanya hivyo kwa maelezo kuwa “Watu wa Juu ndiyo wataamua!” Kwa hiyo Mbunge na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika anatumia usiku mzima akiwa selo kwa kutuhumiwa kufanya uchochezi kwa watu wasiojulikana na akiwachochea watu hao wafanye makosa yasiyojulikana na ambayo yanachunguzwa.

Hii haikubaliki, ni matumizi mabaya ya mamlaka ya kukamata ambayo polisi wamepewa na ni kitendo ambacho kinapaswa kupingwa na kulaumiwa na Watanzania wote!

Wakili Fatuma Karume.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwa uzalendo wa kisheria unaoufanya kwa mtetezi asiyena na Mawaa kwa Raiamwenye shida ya kisheria .Huu ni Ukomavu wa hili ya juu Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimewataka Polisi wampe dhamana, wamekataa kufanya hivyo kwa maelezo kuwa “Watu wa Juu ndiyo wataamua!”

Nataka kuamini kwamba hao watu wa juu ni kilaza Bashite na wenzie. Sitaki kuamini kabisa kwamba a whole PhD holder (japo yenye utata) can be this stupid - stopping frequently katikati ya safari yake ya kutusaidia kupata viwanda (angalau blenders au vyereheani) na kuanza kubishana na kila mmoja anayemzodoa njiani na kumchelewesha.

Hao ''watu wa juu'' leo watakuwa busy na police wetu walivyokuwa wajinga, wapumbavu na wenye nidhamu za uoga, wataendelea kupiga simu kwa Bashite ili kupata kibali cha kumpeleka Lissu mahakamani na hii itatokea Jumatatu au Jumanne.
 
He may not constitute risks to individuals but to the political orderliness.

I cosign to her sentiments.

Tundu Lissu is unhinged.

They should just let him be because most folks can see right through the BS he spews.

No need to waste resources on a deranged individual who doesn't pose any kind of a serious threat.

I cosign to her sentiments.

Tundu Lissu is unhinged.

They should just let him be because most folks can see right through the BS he spews.

No need to waste resources on a deranged individual who doesn't pose any kind of a serious threat.

I cosign to her sentiments.

Tundu Lissu is unhinged.

They should just let him be because most folks can see right through the BS he spews.

No need to waste resources on a deranged individual who doesn't pose any kind of a serious threat.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akapeleke huo upuuzi wake kwa hao wazungu. Anafikiri dhamana inatolewa kienyeji enyeji. Sasa anaandika kwa Kiingereza ndio anafikiri ataeleweka zaidi? Lisu atasota kolokoloni wikiendi hii na huo urais wake na kizungu chake feki.
Well said
Dada Fatuma kaa kimya!
 
Uzuri Lissu alikuwa anajua nini kitafata na kama vile polisi walikuwa wanacheza vile Lissu anataka
 
Per Fatma Karume, Advocate;

I went to represent Tundu Lissu at Central Police Station this evening. He was charged for soliciting/incitement contrary to section 390 of the Penal Code. I asked who the police think he solicited/incited and what crime Tundu incited this person to commit. The answer I received was "Bado tunachunguza!"

I asked the police to grant him bail. They refused to do so on the ground that "Watu wa juu ndiyo watoamua!" So a member of Parliament and President of the Law Society is spending a night in police custody for allegedly soliciting/inciting an unknown person to commit an unknown crime all of which the police are still investigating.

This is an unacceptable abuse of police powers of arrest that should be condemned by all right thinking Tanzanians!

=====

Nimekwenda kumwakilisha mteja wangu Tundu Lissu Kituo Kikuu cha Polisi “Dar Es Salaam Central Police” jioni ya leo (jana Alhamisi). Anashikiliwa kwa makosa ya uchochezi kinyume na kifungu cha 390 cha Sheria ya Kanuni za Adhabu (Penal Code). Nimewauliza Polisi wanadhani Tundulissu amemchochea nani na ni kosa gani la jinai ambalo mtu huyo aliyechochewa amelitenda. Jibu nililopokea ni “Bado Tunachunguza!”

Nimewataka Polisi wampe dhamana, wamekataa kufanya hivyo kwa maelezo kuwa “Watu wa Juu ndiyo wataamua!” Kwa hiyo Mbunge na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika anatumia usiku mzima akiwa selo kwa kutuhumiwa kufanya uchochezi kwa watu wasiojulikana na akiwachochea watu hao wafanye makosa yasiyojulikana na ambayo yanachunguzwa.

Hii haikubaliki, ni matumizi mabaya ya mamlaka ya kukamata ambayo polisi wamepewa na ni kitendo ambacho kinapaswa kupingwa na kulaumiwa na Watanzania wote!

Wakili Fatuma Karume.

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma article iliyoko kwenye jarida la The Economist, How the powerful people use criminal defamation laws to silence their critics
 
Back
Top Bottom