Nenda kamtoe Lisu toka kolokoloni kwanza. Kama huwezi mpelekee hata uji.
Hukwenda kwenye maandamano?
Nina shughuli za kufanya tofauti na wewe unaeishi kwa matumaini ya kuteuliwa, pole sana dogo.Hukwenda kwenye maandamano?
Unamwacha Lisu asote peke yake? Aisee.Nina shughuli za kufanya tofauti na wewe unaeishi kwa matumaini ya kuteuliwa, pole sana dogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamwacha Lisu asote peke yake? Aisee.
Akapeleke huo upuuzi wake kwa hao wazungu. Anafikiri dhamana inatolewa kienyeji enyeji. Sasa anaandika kwa Kiingereza ndio anafikiri ataeleweka zaidi? Lisu atasota kolokoloni wikiendi hii na huo urais wake na kizungu chake feki.
Nenda kaandamane sasa.Kaka umeandika kwa hasira sana,kitu muhimu alichoongea huyu mwanasheria ni kuwa polisi wamesema upelelezi bado unaendelea katika kesi ya Lissu,Huyu dada amehoji kwanini polisi wamemkamata Lissu bila ya kufanya upelelezi kwanza..
Sote tunafahamu kuwa Polisi wanatakiwa wafanye upelelezi kwanza kabla ya kumkamata mtu. baada ya kuona wametosheka na upelelezi ndio wakamate mtu ili wapate kumpeleka mahakamani kutokana na upelelezi waliokuwa nao..na ndio maana katika jeshi la polisi kuna kitengo cha CID
Ni nchi ya Tanzania tu ndio naona kuna huu upuuzi wa kumweka mtu rumande bila ya kumpeleka Mahakamani,kama polisi hawana ushahidi kwanini wamakamate mtu??nchi za wenzetu wanaopenda wananchi wao,wanaofuata katiba za nchi zao wanaofuata demokrasia,wanapenda haki za binadamu haiwezekani kuwekwa mtu rumande bila ya Ushahidi wa kutosha
Suali langu Je Tanzania kuna sheria ya kumlipa mtuhumiwa fidia "compensation" kama polisi wameshindwa kesi mahakamani?
If you can't defeat them join themWell, if you can not withstand the situation, then you are faced with two choices; either go hang or try to seek asylum elsewhere, with immediate alacrity.
Hahaha!umefurahi sasa ...nmerudi lknJamaa wamekulima, haya sasa.
Wajinga ndio waliwao waswahili wamesema,kwa ujinga wako huoni tatizo lolote haya yanayofanywa na Polisi..Nenda kaandamane sasa.
This is how you answer?!Ha ha ha. Home made English. Kiingereza sio lugha ya kutambia wajameni.
unaakili ndogo sana wewe endelea kul kodi z wananchi maana huna maana Lissu anasota for this nation hawezi achie michwa mende waharibu nchiUnamwacha Lisu asote peke yake? Aisee.
Lakini utakuwa na adabu.Hahaha!umefurahi sasa ...nmerudi lkn
Ova
Yes.This is how you answer?!
Ha ha ha, tutaona....Lissu anasota for this nation...
Great keep it up!Yes.
I sure will.Great keep it up!