Wakikutana Dar


Dah,mkuu hii mimi imeshanitokea kwa washkaji zangu kadhaa niliosoma nao both o-level n chuo,tulikuwa tunawasiliana vizur tu thn M'Mungu kanijalia kuongeza tena elimu kidg na kuboresha maisha,duh kiukweli naona kama ni wananikwepa seriously hata nikijithd kuwatext mimi huwa hawareply na mwingn nilionana naye kwa umbali mdg tu macho kwa macho mitaa ya bank akakausha kabisa yeye,mh...
 
Hii huwa inatokea sana. Kwa nini mtu kama umetangulia kufanikiwa kidogo unakuta ukimtafuta mtu anajifanya yuko busy?
Au haoneshi ushirikiano kabisa. Ila mi naona ni ushamba Na kujishtukia tu.
 

tulikuwa tumeonana kama hatua 10 mbele ila alinipita
 
mfano mtu nimesoma nae primary huko miaka kumi imepita...nakumbuka sura tu jina limepote
nikimuambia anikumbushe jina lake napo ni kosa?
 
mfano mtu nimesoma nae primary huko miaka kumi imepita...nakumbuka sura tu jina limepote
nikimuambia anikumbushe jina lake napo ni kosa?

...sio kosa bhana, watu hawaishi kulaumu...kuna watu tumeachana 15yrs hata kama sura naikumbuka jina laweza kunitoka.,,kuuliza sio vibaya!
 
...sio kosa bhana, watu hawaishi kulaumu...kuna watu tumeachana 15yrs hata kama sura naikumbuka jina laweza kunitoka.,,kuuliza sio vibaya!

Tena Mie nasahau majina mapema kuliko sura na sauti
 
Mtoa mada inaonekana ni moja ya watu wanaosumbuliwa na ishu ya UDAR... But ukijaona maisha ya mahali pengine nje ya bongo. Utagundua ni ushamba usio na mfano... Dar sio mahali pa kukufanya ujione bora kuliko mwenzio actually ni moja ya maeneo watu wengi wanaishi maisha ya ajabu sana japo ni siri zao wakiamka wamevaa kadeti na kuchomekea. Ila Dar sio mahali pa kumfanya yeyote ajisikie bora au hata kuweka wazo moyoni kuwa yupo mahali pa ajabuuuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…