Kwa mwanamke inategemea, mara nyingi wanawake huwa hawakazii watu macho kama wako barabarani, yeye anajua kila mtu anamtazama hivyo anaconcentrate na mikogo, usimlaum sana bana wanawake ndivyo walivyo! Inatokea mara nyingi tu unaweza kuwa umekaa sehem, tena counter kabisa anakuja anaagiza kinywaji anatengenezewa anachukua...kama haujamshtua hawezi kukuona, hasa kukiwa na mwanga mdogo, msiwaseme dada zangu ni jinsi walivyo wala si kwamba amekudharau!