Wakenya wavamia Tanzania

Wakenya wavamia Tanzania

Freedom tommorrow

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2015
Posts
1,795
Reaction score
1,132
DSC016091.jpg



Gazeti la Jamhuri limeripoti kuwa Wakenya zaidi ya 280 wameingia Loliondo pamoja na Serengeti na kuishi kinyume na sheria.

Baadhi yao wamediriki hata kupewa uanachama wa CCM na kupewa uongozi mbalimbali wa chama hicho. Mkuu wa Wilaya amekiri kuwepo kwa wahamiaji haramu hao.

Mpaka sasa ni 17 tu ambao wamekamatwa na kufikishwa mahakamani.

Majina yote jamhuri wameyaweka ili kuvisaidia vyombo vya usalama kuwashughulikia.

Maoni yangu ni kuwa hili suala ni nyeti sana hasa wakenya sio majirani wazuri kama tunavyowafikiri.

Kwao hawawezi kukuruhusu hata kupata eneo la biashara kirahisirahisi, waulize Watanzania wanaoishi mipakani watawapa majibu.

Hivyo viongozi husika walichukulie serious ili jambo waache virushwarushwa. waanze kuwashughulikia kama ile operation kimbunga.
 
wabongo bado wamelala... mtu anaingia nchini anapewa na uanachama wa kisiasa..!!
 
nimefika kenya kununua tu line ya simu nipunguze gharama ya makato ya mtandao wa bongo kutumika kenya,
ikashindikana, lazima uwe na cheti cha taifa.

nilichoka wakat hapa kwetu unauziwa baani na unasajili kwa kuchagua mwenyewe user name.
ww ni me bt unamwambia muuzaji sajili kwa maria na unasajiliwa.
bongo no criusness
 
Jamani tuache chuki zisizo kuwa na mshiko kwa majirani zetu. Kumbuka hata Kenya kuna Watanzania kibao wanaoishi huko bila visa wala vibali maalumu. Na sio kweli kusema eti Wakenya hawawezi kukupa nafasi ya kufanya biashara. Ninao uhakika na hili kwani katika soko maarufu la kikomba pale Nairobi kuna Watanzania wengi sana wanafanya biashara zao za kuuza nguo, viatu, vyombo vya ndani, samaki n.k na hakuna mkenya anayewabugudhi.

Ingawaje sisemi jirani zetu waje kiholela, lakini tusitumie lugha ya kusema tuwafukuze kwani nao wanaweza kuwafukuza Watanzania walioko Kenya vile vile.

Tiba
 
nimefika kenya kununua tu line ya simu nipunguze gharama ya makato ya mtandao wa bongo kutumika kenya,
ikashindikana, lazima uwe na cheti cha taifa.

nilichoka wakat hapa kwetu unauziwa baani na unasajili kwa kuchagua mwenyewe user name.
ww ni me bt unamwambia muuzaji sajili kwa maria na unasajiliwa.
bongo no criusness

Huo ndio uzembe wa hali ya juu tunaoufanya. Hatujui umuhimu wa kusajili simu. Hupashwi kupewa kadi ya simu kama huna vitambulisho vinavyoonyesha wewe ni nani. Hapa kwetu ni upuuzi tu ndio unatusumbua na kuna siku tutayajutia haya makosa.

Tiba
 
Tanzania bila majungu haiendi ndivyo tulivyo jamani. watu wamekaa tu kimajungu tu kazi hawafanyi.
 
Ninachokiona ni kwamba sasa tunavuna tulichokipanda,uzembe wa viongonzi wetu ndio umetufikisha hapa,haiwezekani wageni waingie nchini kisha wapate aridhi,uongozi ndani ya chama wakati maeneo hayo yanaviongozi wa vitongoji,kijiji na kata, madhara ya hawa wakenya kuendelea kuwahifadhi tutayaona baadae pale ambapo aridhi itakapokuaimepolwa na hatutakua na njia ya kuirejesha tena.JAMBO la msingi hapa ni kufanya msako mkali ili warejeshwe makwao na viongozi waliokua wamewakumbatia wawajibishwe ipasavyo.
 
mleta Uzi unataka kuwa kama Mfalme wa Souz??

Xenophobic hizoo zinachochewa!!
 
Watanzania acheni chuki za kijinga kwan ni watanzania wangapi wamekodi mashamba huko Kenya kwaajili ya kilimo cha umwangiliaji na tena wanaishi kama wapo kwao! punguzeni majungu
 
Watanzania acheni chuki za kijinga kwan ni watanzania wangapi wamekodi mashamba huko Kenya kwaajili ya kilimo cha umwangiliaji na tena wanaishi kama wapo kwao! punguzeni majungu

Tatizo sio chuki wameingia kihalali nchini wamefata taratibu.YaniMtanzania apewe ardhi wakati kwao ardhi ni shida.
 
wakenya, wamalawi na wao wananyang'anya kazi za wazawa.

wapigwe...
wapigwe tu.
 
Sio muda mrefu na sisi tutaanza kuwacharanga kama huko SA, wamejaa sana maeneo ya mikocheni, mbezi beach na tegeta. Alafu jamaa wanajichukilia babu kubwa sana wakati ni masikini wakutupwa, kuna siku tulikua tunapiga bia mtaani kwenye duka la mangi wakawa wanatusnitch kwa kikikuyu, tulichowafanya hadi leo huwa hawanywei tena pale mtaani.

safi,ni kweli ni watu wenye majivuno saana kupitiliza
 
nimefika kenya kununua tu line ya simu nipunguze gharama ya makato ya mtandao wa bongo kutumika kenya,
ikashindikana, lazima uwe na cheti cha taifa.

nilichoka wakat hapa kwetu unauziwa baani na unasajili kwa kuchagua mwenyewe user name.
ww ni me bt unamwambia muuzaji sajili kwa maria na unasajiliwa.
bongo no criusness

sasa hiki unachotuambia hapa unaona ni sifa? punguza kula gomba kudadadensa
 
Hao ni wamaasai waishio mipakani na wana jamaa pande zote.......labda waitishe kura ya maoni ya kujiunga na nchi moja waipendayo kama vile Crimea kule Russia ili mipaka yachorwe upya.
Mkome kuwahangaisha kwa roho zenu chafu..ilhali wameishi hivi wakitembeleana miaka na mikaka tangu jadi hata kabla ya muingereza kuchora mipaka ilivyo sasa.......!!
 
Back
Top Bottom