Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Huwezi kutofautisha sana Uongozi wa Kenyata na mstaafu Kikwete
Ni viongozi wanaomini katika Demokrasia ya kweli, viongozi wasiojali kupingwa wala kusemwa kwa ubaya,
Viongozi wanaotenda kwa jamii nzima Maskini na matajiri kama una Access ya kufanya kitu fanya na utafanikisha,
Kikwete kwa sasa ni mstaafu licha ya maneno mengi ya kumnanga/Kusemwa na kumtukana yaliyokuwa yanatoka kwenye vinywa vya watanzania wengi leo hii amekuwa ni shujaa wao wanamkumbuka na kummisi wote wale waliomnanga wamekula matapishi yao,
Kenya leo wanamuona KENYATTA kama sio chochote ni mficha mafisadi, mwizi wa pesa zao za umma lakini hawana Ushahidi zaidi ya maneno
Wanasahau kwamba Kenyatta ndio anaewapa Demokrasia ya kusema yote hayo na huku yeye akiwatazama na kucheka tu,
Kenyatta huyu huyu wanaemuona boya ndie anaewapa utawala Bora kuanzia Mahakama, bunge na Raia wote wana uhuru na haki, hakuna uonevu usio na tija ndani ya Kenya,
Leo baadhi ya watanzania wanalia, wengine wanatamani ata siku zingerudi nyuma wawe pamoja na KIKWETE, waajiriwa wanalia, wahitimu wa chuo wanalia, wafanyabiashara wanalia, wananchi wanalia,
Lakini wote hao ukiwafata na kuwauliza kwa nini wanalia watoke waseme,
Watatoka na kutabasamu kinafiki huku wakisifia, wanaogopa kusema ukweli kwa sababu Hakuna Demokrasia ya kweli zaidi ya maneno na maandishi ya kwenye karatasi,(ongea ukweli unyamazishwe au sifia ubovu upate uteuzi/Uishi kwa Amani),
Ndio utawala uliopo sasa,
Kenya leo mnamuona Kenyatta hafai lakini ipo siku Mtamkumbuka,
Cc Zero IQ
Ni viongozi wanaomini katika Demokrasia ya kweli, viongozi wasiojali kupingwa wala kusemwa kwa ubaya,
Viongozi wanaotenda kwa jamii nzima Maskini na matajiri kama una Access ya kufanya kitu fanya na utafanikisha,
Kikwete kwa sasa ni mstaafu licha ya maneno mengi ya kumnanga/Kusemwa na kumtukana yaliyokuwa yanatoka kwenye vinywa vya watanzania wengi leo hii amekuwa ni shujaa wao wanamkumbuka na kummisi wote wale waliomnanga wamekula matapishi yao,
Kenya leo wanamuona KENYATTA kama sio chochote ni mficha mafisadi, mwizi wa pesa zao za umma lakini hawana Ushahidi zaidi ya maneno
Wanasahau kwamba Kenyatta ndio anaewapa Demokrasia ya kusema yote hayo na huku yeye akiwatazama na kucheka tu,
Kenyatta huyu huyu wanaemuona boya ndie anaewapa utawala Bora kuanzia Mahakama, bunge na Raia wote wana uhuru na haki, hakuna uonevu usio na tija ndani ya Kenya,
Leo baadhi ya watanzania wanalia, wengine wanatamani ata siku zingerudi nyuma wawe pamoja na KIKWETE, waajiriwa wanalia, wahitimu wa chuo wanalia, wafanyabiashara wanalia, wananchi wanalia,
Lakini wote hao ukiwafata na kuwauliza kwa nini wanalia watoke waseme,
Watatoka na kutabasamu kinafiki huku wakisifia, wanaogopa kusema ukweli kwa sababu Hakuna Demokrasia ya kweli zaidi ya maneno na maandishi ya kwenye karatasi,(ongea ukweli unyamazishwe au sifia ubovu upate uteuzi/Uishi kwa Amani),
Ndio utawala uliopo sasa,
Kenya leo mnamuona Kenyatta hafai lakini ipo siku Mtamkumbuka,
Cc Zero IQ